Mkuu ipo k/koo, ukifika pale makutano ya Uhuru na Living stone. Ukifika pale muulize mtu yoyote kwa Bakhresa, Duka la El shadai linaangaliana na Nyumba ya Bakhresa. Ukifika hapo huwezi potea kwani wana bango kubwa Mlangoni. kama mwenyeji nenda Makutano ya mitaa ya Michikichi na Livingstone ndo hapo hapo. mia