Huyu mtoto anatia huruma, hapo ni kuwa kila organ katika mwili wake inafanya kazi zaidi kutokana na uzito wa mwili, kuanzia moyo, figo, mapafu, na vinginevyo, na matokeo ya kuoverwork organs ni kuwa zinakuja kushindwa kufanya kazi.
Huyu mtoto anatia huruma, hapo ni kuwa kila organ katika mwili wake inafanya kazi zaidi kutokana na uzito wa mwili, kuanzia moyo, figo, mapafu, na vinginevyo, na matokeo ya kuoverwork organs ni kuwa zinakuja kushindwa kufanya kazi.
Ni matunzo tuu. Ata wewe mwanao mlishe vizuri, alale pazuri, apate na muda muafaka
Wa kucheza. Atamzidi huyo.
Usiniulize , usijiulize Kwa nini wako hanenepi hivyo.
Ujue hajalidhika na huduma unazo mpa.
Huo ni mtazamo wangu.