Duh!!!

Kwanini asinywe maji tu kwa muda wa miezi 2 ataona mabadilikoooo lowasaaa lowasaaaa mabadilikoo
 
Huyu mtoto anatia huruma, hapo ni kuwa kila organ katika mwili wake inafanya kazi zaidi kutokana na uzito wa mwili, kuanzia moyo, figo, mapafu, na vinginevyo, na matokeo ya kuoverwork organs ni kuwa zinakuja kushindwa kufanya kazi.
 
Huyu mtoto anatia huruma, hapo ni kuwa kila organ katika mwili wake inafanya kazi zaidi kutokana na uzito wa mwili, kuanzia moyo, figo, mapafu, na vinginevyo, na matokeo ya kuoverwork organs ni kuwa zinakuja kushindwa kufanya kazi.
Huyo moyo wake kilo 10 huyo. We unafikiri eti moyo utabaki uzito uleule. Hamna kitu kama hicho
 
Ni matunzo tuu. Ata wewe mwanao mlishe vizuri, alale pazuri, apate na muda muafaka
Wa kucheza. Atamzidi huyo.
Usiniulize , usijiulize Kwa nini wako hanenepi hivyo.
Ujue hajalidhika na huduma unazo mpa.
Huo ni mtazamo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…