Duh

Hivi hakuna mchungaji au Sheikh aombe zitokee barabara kama hizi hapa kwetu.

Maana kwa kodi zetu na hela ya wahisani tutachelewa sana
 
ndiyo maana lile jengo la tanesco linabidi kuondoka sasa wakati gharama yake bado ni ndogo na mapori bado yako karibu...kuliko hapo baadaye ambapo gharama ya kulibomoa itakuwa juu na mapori yako mbali zaidi ya kusimamisha jengo lingine...#JustSaying
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…