Duh, Vikoba vinakondesha Jamani.

Duh, Vikoba vinakondesha Jamani.

Mcharuko

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2011
Posts
209
Reaction score
175
Yaani si mchezo kama hujaanza acha kabisa hii kitu, mmesikia dada zangu
mimi sirudii tena.
 
najitolea kukufundisha bure elimu ya biashara na mambo unayotakiwa kufanya,nipm kama uko tayari darasa lianze
 
Yaani si mchezo kama hujaanza acha kabisa hii kitu, mmesikia dada zangu
mimi sirudii tena.
Vipi mdada? ulitumia pesa ya mkopo kuweka heshima Bar na kula bata kwa sana nini? Njoo nikukopeshe bila riba!
 
Weka tatizo lako wazi Dada,unaweza kushauriwa na kupata nafuu.
 
Ninamaliza mwaka wa pili kwenye vicoba sasa baada ya kujifunza mambo mengi. Nimeona inavyonufaisha ikiwemo kuniongezea akili ya kutafuta pesa,nidhamu ya matumizi,kupata mkopo wenye masharti nafuu kwa wakati muafaka,kuwa sehemu ya umiliki wa mtaji pamoja na kujifunza mbinu kadhaa za kujiongezea kipato.
Jambo la msingi ni kuheshimu katiba,kikundi na wanakikundi.
 
mkewangu nilimpiga stop 4yrs past, sitaki kusikia upuuzi wa kuwatajirisha watu, wenyepesa wanakuja kuchuma kwa masikini, mwawajua waanzilishi wa vikoba?
 
Back
Top Bottom