The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 461
Ok,nlishasahau kama nliwahi kuomba hii kazi. So,le natoka ofisini kidogo hapa nlipojishikiza nakuta text hii kwenye simu yangu..jisomee mwenyewe;
Habari, am xxx from yyy Organization,
Dar. Naingia kikaoni kikaoni tukapitie
majina ya kuinterview for xxx
ASSISTANT POST, I like your CV
nitakusaidia upate hii kazi. salary ni 1.3
Million, ila ukilipwa salary ya kwanza
utanipa kitu kidogo, if you agree do
this. .by saa 11 jioni uwe umetuma
scaned copy za vyeti vyako to
pppp@gmail.com na sh. elfu 35 by
tigopesa to 0659 xyzx ili nimpe mtu wa
interview anipe maswali ntakutumia
kwenye e-mail, hr manager nshampa
hela kidogo kashakubali, jitahidi utume
mapema nikitoka kikaoni utapigiwa
simu lini uje for interview..
Ungekuwa wewe ungefanyaje?Binafsi nimesema sipotezi nguvu, muda na hela tena kutuma Cv zangu 'hovyo hovyo.' Matapeli wanahusika sana.
Habari, am xxx from yyy Organization,
Dar. Naingia kikaoni kikaoni tukapitie
majina ya kuinterview for xxx
ASSISTANT POST, I like your CV
nitakusaidia upate hii kazi. salary ni 1.3
Million, ila ukilipwa salary ya kwanza
utanipa kitu kidogo, if you agree do
this. .by saa 11 jioni uwe umetuma
scaned copy za vyeti vyako to
pppp@gmail.com na sh. elfu 35 by
tigopesa to 0659 xyzx ili nimpe mtu wa
interview anipe maswali ntakutumia
kwenye e-mail, hr manager nshampa
hela kidogo kashakubali, jitahidi utume
mapema nikitoka kikaoni utapigiwa
simu lini uje for interview..
Ungekuwa wewe ungefanyaje?Binafsi nimesema sipotezi nguvu, muda na hela tena kutuma Cv zangu 'hovyo hovyo.' Matapeli wanahusika sana.