Kweli E. Lowassa alikusudiwa, kwa mujibu wa Kingunge Mwiru moja sababu ya kumfuta Edward Lowassa kwenye kinyang'anyiro cha kupendekezwa kuwa mgombea urais wa CCM ni kwambba, eti Lowassa alianza kampeni kabla ya wakati. LAKINI, cha ajabu Mh. Magufuli ameshaanza kampeni kuelekea urais kabla ya kipindi cha kampeni kuanza mwezi Septemba 2015.
Mh. Loawassa, kama ilivyo kwa Mh. Magufuli, amedaiwa kufanya kampeni kila alipokutana na makundi ya wanachama wenzake. Mh. Magufuli akiwa na mgombea mwenza wamekuwa wakifanya kampeni za urais kwa kila kinachoelezwa kuwa ni kumtambulisha kwa wanachama wenzake.
Kilichoonekana ni utovu wa NIDHAMU na MAADILI wa Mh. Lowassa kwa kanuni na katiba ya chama; leo hii kinaonekana kuwa ni kitendo cha kawaida na chenye baraka zote kufanywa na Mh. Magufuli ambaye sasa havunji kanuni za chama tu bali anakiuka na kuvunja katiba ya nchi.
HAKIKA "kitengo" ndani ya chama kilimkamia Mh. Edward Lowassa.
Mh. Loawassa, kama ilivyo kwa Mh. Magufuli, amedaiwa kufanya kampeni kila alipokutana na makundi ya wanachama wenzake. Mh. Magufuli akiwa na mgombea mwenza wamekuwa wakifanya kampeni za urais kwa kila kinachoelezwa kuwa ni kumtambulisha kwa wanachama wenzake.
Kilichoonekana ni utovu wa NIDHAMU na MAADILI wa Mh. Lowassa kwa kanuni na katiba ya chama; leo hii kinaonekana kuwa ni kitendo cha kawaida na chenye baraka zote kufanywa na Mh. Magufuli ambaye sasa havunji kanuni za chama tu bali anakiuka na kuvunja katiba ya nchi.
HAKIKA "kitengo" ndani ya chama kilimkamia Mh. Edward Lowassa.