Dubai kwisha!

Dubai kwisha!

Ungejibu swali la msingi la awali. Anayepiga mabomu UAE ni nani? Kwasababu hata kipindi anashughulikiwa Hamas hakuwahi kulaumiwa Iran anayefadhili ushetaji.

Walishughulikiwa Hamas walipomaliza wakaja kudili na mfadhili wao. Sasa kwanini mnaanza kumtupia lawama USA as if yeye ndio anarusha kombora na drones huko?
Jiulize kwanini hayo mataifa yanayopigwa na iran, hayafanyi reaction kwa anayewapiga?
 
Hawa jamaa wahuni sana.... Hawajawahi shindwa.... Wanaweza kupiga wenyewe wakamsingizia Iran kuwa ndio kapiga.....
Wanaweza hata kufanya mauaji kwa raia wao pale New York halafu lawama akapewa mwingine.
 
Back
Top Bottom