Dubai kwisha!

Dubai kwisha!

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
9,170
Reaction score
20,202
Dubei ndio hivyo tena kwiiisha. Dubai is finished.

Wahamiaji matajiri expats wanaikimbia Dubei.

Nyumba zimeshuka thamani 69%. Biashara haziendi.

Madereva teksi hasa kutoka Pakistani, India na Bangladesh nao wanataka kurudi nyumbani hamna biashara ni njaa.

Ukilinganisha na Dubei hawazalishi mafuta kwa wingi kwisha.

Iran imeamua kukomaa na UAE hasa Dubei kwa kuishambulia na zile suicide drones zake.

Kuna wahamiaji Expat waingereza 280,000 akiwemo mlinzi wa zamani Manchester United Rio Ferdinand nao wanaikimbia nakusema hawatarudi tena.

Sijui na wale ndugu zetu waliopata ajira mpya 500 itakuwaje?

Wabeba box mtoni tulikuwa tunaringishiwa kwenye social media eti tunapambana na baridi wenyewe wanaenjoy sunshine kwenye maswimming pools na skyscrapers. Sasa rudini tujumuike wote kwenye baridi maamae.
 
20260314_204348.jpg
 
Dubei ndio hivyo tena kwiiisha. Dubai is finished.

Wahamiaji matajiri expats wanaikimbia Dubei.

Nyumba simeshuka thamani 69%. Biashara haziendi.

Madereva teksi hasa kutoka Pakistani, India na Bangladesh nao wanataka kurudi nyumbani hamna biashara ni njaa.

Ukilinganisha na Dubei hawazalishi mafuta kwa wingi kwisha.

Iran imeamua kukomaa na UAE hasa Dubei kwa kuishambul8a na zile suicide drones zake.

Kuna wahamiaji Expat waingereza 280,000 akiwemo mlinzi wa zamani Manchester United Rio Ferdinand nao wanaikimbia nakusema hawatarudi tena.

Sijui na wale ndugu zetu waliopata ajira mpya 500 itakuwaje?

Wabeba box mtoni tulikuwa tunaringishiwa kwenye social media eti tunapambana na baridi wenyewe wanaenjoy sunshine kwenye maswimming pools na skyscrapers. Sasa rudi tujumuike wote kwenye baridi maamae.
Kinachoshangaza Muajemi anashambulia zaidi UAE kuliko anavyoshambulia Israel, kama alikuwa amewapania na sasa imepatikana excuse.
 
Kwa maswali yako ni dalili tosha kwamba haulewi yanayoendelea huko M.E au umeamua tu kujitoa ufahamu. Maana mtu yeyote aliye sober anajua uhusiano wa huo uharibifu na bw trumpet
Ungejibu swali la msingi la awali. Anayepiga mabomu UAE ni nani? Kwasababu hata kipindi anashughulikiwa Hamas hakuwahi kulaumiwa Iran anayefadhili ushetaji.

Walishughulikiwa Hamas walipomaliza wakaja kudili na mfadhili wao. Sasa kwanini mnaanza kumtupia lawama USA as if yeye ndio anarusha kombora na drones huko?
 
Dubei ndio hivyo tena kwiiisha. Dubai is finished.

Wahamiaji matajiri expats wanaikimbia Dubei.

Nyumba zimeshuka thamani 69%. Biashara haziendi.

Madereva teksi hasa kutoka Pakistani, India na Bangladesh nao wanataka kurudi nyumbani hamna biashara ni njaa.

Ukilinganisha na Dubei hawazalishi mafuta kwa wingi kwisha.

Iran imeamua kukomaa na UAE hasa Dubei kwa kuishambulia na zile suicide drones zake.

Kuna wahamiaji Expat waingereza 280,000 akiwemo mlinzi wa zamani Manchester United Rio Ferdinand nao wanaikimbia nakusema hawatarudi tena.

Sijui na wale ndugu zetu waliopata ajira mpya 500 itakuwaje?

Wabeba box mtoni tulikuwa tunaringishiwa kwenye social media eti tunapambana na baridi wenyewe wanaenjoy sunshine kwenye maswimming pools na skyscrapers. Sasa rudini tujumuike wote kwenye baridi maamae.
Dua la kuku.
 
Back
Top Bottom