Technian Tanga
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 411
- 200
Hawa wame desa kutoka pemba???? Hivi Dubai ni nchi au mji ???Dubai ni moja kati ya taifa linaloendelea kwa kasi sana kwa sasa wameanza kushughulikia swala la ujenzi wa viwanja vya tenis chini ya bahariView attachment 255801 licha ya burudani ya utazamaji wa mchezo huo wa tennis chini ya maji mashabiki pia watajionea utalii wa ajabu huko chini ya bahariView attachment 255802
Ni mji maarafu tu kiongoziHawa wame desa kutoka pemba???? Hivi Dubai ni nchi au mji ???
Vyumba viwili vile vya Zanzibar? au unasemea hotel ipi?Tanzania tayari tuna hoteli ina vyumba chini ya bahari.
Duhh huko hata bure sijaingia wakuu, hivi itokee hapo ndo huo sijui niseme ukuta upasuke inakuweje hapo?
Duhh huko hata bure sijaingia wakuu, hivi itokee hapo ndo huo sijui niseme ukuta upasuke inakuweje hapo?
Vyumba viwili vile vya Zanzibar? au unasemea hotel ipi?
duu!mkuu,unaendekeza hatari kabla ya tahadhali.chunga sana.
sisi tupo busy na safar ya matumainiDubai ni moja kati ya taifa linaloendelea kwa kasi sana kwa sasa wameanza kushughulikia swala la ujenzi wa viwanja vya tenis chini ya bahariView attachment 255801 licha ya burudani ya utazamaji wa mchezo huo wa tennis chini ya maji mashabiki pia watajionea utalii wa ajabu huko chini ya bahariView attachment 255802