BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,760
- 3,270
Kuna kampeni ya kutumia Lugha zetu za kiafrika katika kuwasilisha Matangazo ya Mpira Mashindano ya kombe la Dunia.
Hawa Watangazaji ni Vishoka,hawana umahili wa kuwafahamu Wachezaji na kutangaza mpira! Wajanjawajanja tu Wanasoma historia za matukio ya timu na Wachezaji! Hakika wanaondoa radha ya kuangalia mpira.
Watanzania wenzangu sio kila kandarasi ukubali,kwaajiri ya njaa au jina ulilopata kwenye Radio Yako kutangaza vipindi vya michezo au majadiliano.havikufanyi wewe uwe mtangaza mpira! Ni Kazi za watu wenye vipawa hivyo!
DSTV safari nyingine,Tafuta watu wenye weredi na kutangaza mipira sio Hawa vilaza! Am very much disappointed with you guys! We don't receive value for our money with these useless local football commentators.
Hawa Watangazaji ni Vishoka,hawana umahili wa kuwafahamu Wachezaji na kutangaza mpira! Wajanjawajanja tu Wanasoma historia za matukio ya timu na Wachezaji! Hakika wanaondoa radha ya kuangalia mpira.
Watanzania wenzangu sio kila kandarasi ukubali,kwaajiri ya njaa au jina ulilopata kwenye Radio Yako kutangaza vipindi vya michezo au majadiliano.havikufanyi wewe uwe mtangaza mpira! Ni Kazi za watu wenye vipawa hivyo!
DSTV safari nyingine,Tafuta watu wenye weredi na kutangaza mipira sio Hawa vilaza! Am very much disappointed with you guys! We don't receive value for our money with these useless local football commentators.