DSTV gharama ziko juu.. Kwanini..?

DSTV gharama ziko juu.. Kwanini..?

kama huwezi kumudu dstv hamia star times na kama unashindwa hiyo pia hamia kwenye cable na kama bado basi uza tv ununue redio
 
kama huwezi kumudu dstv hamia star times na kama unashindwa hiyo pia hamia kwenye cable na kama bado basi uza tv ununue redio

Kauli yako inafanana ile ya "liwalo na liwe"..
Zamani kabla hawajaja hawa DSTV hapa bongo tulikuwa tunaangalia mipira kwenye local channels.. Leo iweje nyie ndio mfaidi pekee yenu..? Au kwa kuwa mna hela za dhulma..?
 
Kamata king'amuzi cha HAWK 777 kinatumia line ya gsm una subscribe bundle ya mwezi 2500 tshs then unakula fully channels za dstv mwezi mzima

Inkoskaz, heshima mbele. Je waweza dadavua zaidi katika hiki king'amuzi?
 
Inkoskaz, heshima mbele. Je waweza dadavua zaidi katika hiki king'amuzi?
it is aplug and play device..unanunua bundle ,ukishaweka line unachomeka dish lako la d##v kama unalo basi ngoma inaitika machannel kama kukanyag ganda la ndizi
 
it is aplug and play device..unanunua bundle ,ukishaweka line unachomeka dish lako la d##v kama unalo basi ngoma inaitika machannel kama kukanyag ganda la ndizi

Hiyo divice inauzwa wapi?@ Inkoskaz
 
it is aplug and play device..unanunua bundle ,ukishaweka line unachomeka dish lako la d##v kama unalo basi ngoma inaitika machannel kama kukanyag ganda la ndizi

Toa maelezo yaliyo shiba kwa niaba ya watu wengine,naona kama una hide hide vile
Vizuri share na wenzako mkuu,ni hayo tu
 
Just pm for the contacts..at your own business desire na fundi!!
 
Back
Top Bottom