richie hassan
Member
- Jan 10, 2013
- 52
- 9
Niaje Washkaji,, nimenunua Decoder ya DStv nyuma nimekuta USB port lakini inaoneka haiko active nimechomeka flash lakini hai-detect,nikajaribu kucheck Guide Book zake nikakuta inaniambia Not active. Sasa nashindwa kuelewa kama not Active kwanini wameweka Option ya usb na mimi nahitaji sana kutumia hiyo option ya flash naomba maujanja wazee.Labla kuna mtu ana-upeo kidogo anisaidie hapo wakuu....samahani kwa swali refuu