Realbest
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 812
- 301
TCRA yazing’ang’ania kampuni za visimbuzi subiraSawa Azam, Dstv na Zuku hawana leseni za kurusha local channels za Bure na kurusha habari, Basi sasa wapewe leseni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ipo sahihi sana! Lengo nikumkomboa mtanzania wakipato Chachini kabsaHapa kwa jinsi navyoona hili sakata linavyoenda ni kama kililengwa kituo kimoja tu pendwa kwa sasa hapa tz, lkn sielewi tatizo liko wapi
Mnapoisajili tv station kwa nini msimpe na uhuru wa kufanya kazi kwa maana ya leseni zote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga ujinga tu..saivi ni mtanzania gani wa kipato cha chini aliyekombolewa sasa,,zaidi imeongeza usumbufu tu.Serikali ipo sahihi sana! Lengo nikumkomboa mtanzania wakipato Chachini kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafkiri wanatakiwa kuisajiri km local channels Alf inatakiwa hyo chaneli icwepo Azam pekee' iwepo kwenye visimbuzi vngne km ilivyo cloudsNaomba kujua kwa hiyo azam two.azam one nazo zitatakiwa kuoneshwa bule au inakuwaje? Ukitaka za nje ndio zilipiwe au
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana watanzania uwa hatuchoki kulalamika! Bt nmeongea na staff mmoja wa DStv anasema wapo kwenye mazungumzo, soon zitarudi kwhy nikuwa nasubira tuUjinga ujinga tu..saivi ni mtanzania gani wa kipato cha chini aliyekombolewa sasa,,zaidi imeongeza usumbufu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimekuelewa asanteeNafkiri wanatakiwa kuisajiri km local channels Alf inatakiwa hyo chaneli icwepo Azam pekee' iwepo kwenye visimbuzi vngne km ilivyo clouds
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo nawaonea huruma wenyemakampuni haya maana wakiziachia free! Watanzania wabishi sana kulipia inabdi serikali iangalie namna ya kuwasaidiaHapana watanzania uwa hatuchoki kulalamika! Bt nmeongea na staff mmoja wa DStv anasema wapo kwenye mazungumzo, soon zitarudi kwhy nikuwa nasubira tu
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ndie mjinga, kwa hili serikali naipa heko!! badala ya kulipia sasa tutakuwa tunaangalia bure!!Ujinga ujinga tu..saivi ni mtanzania gani wa kipato cha chini aliyekombolewa sasa,,zaidi imeongeza usumbufu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasingeleta huu upumbavu wa visimbusi kama kweli ni kumkomboa huyo mtanzania wa kipato cha chini.Serikali ipo sahihi sana! Lengo nikumkomboa mtanzania wakipato Chachini kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulipia nini??Japo nawaonea huruma wenyemakampuni haya maana wakiziachia free! Watanzania wabishi sana kulipia inabdi serikali iangalie namna ya kuwasaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upuuzi wewe..unanua dstv ili upate local channel za bure??,,una akili sawasawa kweli??wewe ndie mjinga, kwa hili serikali naipa heko!! badala ya kulipia sasa tutakuwa tunaangalia bure!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dstv na startimes , kipi chenye gharama wakat wa kununua??Acha upuuzi wewe..unanua dstv ili upate local channel za bure??,,una akili sawasawa kweli??
Nunua fta dish ufunge kwako upate hizo channel zako za hovyo bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wao watajuta baadae. Wamuulize Nape. Mpaka bastola.......Kuonesha habari ya polisi kumpiga muandishi wa habari nje ya nchi!
Sent using Jamii Forums mobile app
TV ndio yenye gharama