Hii inauzwa 45000Tshs ni TTCL ndo huwa wanaziuza jaribu kuwachek
poa kaka, sasa inakuwa inatumia lain moja au direct line, maana nina router haina sehemu ya kuweka modem, sasa watu wamenishaur ninue dsl il niweze kupata internet
deo bruno naona umehangaika sana na hiyo router yako isiyoweza kuwekewa line
je,hiyo router unataka kuitumia kwa ajili ya matumizi ya nyumbani au wapi?
je,watumiaji wangapi?
daaah brother ni mim mwenyewe na laptop yang na cm yang at home brother
Router lazima uwe na broadband ya TTCL au unaweza kwenda kununua modern special za voda ambazo zina support DSL connection. Matumizi ya router ni kwa computer nyingi imagine km unataka kufungua internet cafe yenye computer kadhaa hv.
Kama ni matumizi ya nyumbani nakushauri tumia modern au simu yako kupata internet kwenye computer yako
Njuwa
Voda wanazo sema wanauza gharama
Njuwa
Voda wanazo sema wanauza gharama