teh teh..kweli naona kweli hukuelewa..nilichosema ni kuwa tujivunie kipaji chake..(nadhani umeona hio bold)..lol
Kama hangekuwa na kipaji the mzunguz wangeshamfuta kazi siku nyiingii..oh..no hata VISA asingepata.. hata hivyo jamaa nadhani amezaliwa na kukulia Paris hivyo hamna 'kitimoto' wa kumzingua..got money in the bank na kipaji anacho..na mjeuri vilevile!
aurevoir..