ELIAS MICHAEL MORRIS
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 384
- 298
ila hujatueleza kuhusu driving licence yako, je ni ya daraja gain?
Ninaendesha VIP tuu siendeshi magar makubwa lessen yangu ni class A D na E ila sija renew, nikirenew napata class C 123, material pia hamna TRA zoez la kubadili leseni bado linasua suaila hujatueleza kuhusu driving licence yako, je ni ya daraja gain?
Niliona tangazo Mkuu lakin sikuweza kuomba, walihitaj lesen class C na pia sina uzoefu kwenye malori mi naendesha VIP tuuMkuu Coca Cola Beverage Africa walitangaza nafasi 10 za madereva zakuendesha magari makubwa yakusambaza soda zao.. Sijajua kama uliziona au huwezi endesha hayo magari... Unaweza pita hapo pia ukadadisi mambo mawili matatu....
Ninaendesha VIP tuu siendeshi magar makubwa lessen yangu ni class A D na E ila sija renew, nikirenew napata class C 123, material pia hamna TRA zoez la kubadili leseni bado linasua sua
Nilipokata lesen kwa Mara ya kwanza nilipata class A D na E, baada ya kutumia kwa miaka 2 nikaenda NIT Kusoma advanced driving grade II,Aisee, unaendesha VIP kwa kutumia leseni gani mkuu...?
Coz nnavyojua mimi ni kuwa Class E ni HGV i.e MAGARI MAKUBWA. Na kupata VIP Driving ni unatakiwa kuwa Class C123 baada ya kusoma Advanced Drivers Grade II.
Sasa wee umesema unaendesha magari madogo tu halaf una Class E. Halaf umesema unaendesha VIP ukiwa na Class AD na E. Really...?
Curious to know mkuu.
Thanks.
Vyeti nilivyonavyo vinaniruhusu kuendesha VIP japo sijarenew lessen mkuu, Sifa nnazo zote na uwezo pia ninao ndio maana nimeomba kazi hii na ni taaluma yanguAisee, unaendesha VIP kwa kutumia leseni gani mkuu...?
Coz nnavyojua mimi ni kuwa Class E ni HGV i.e MAGARI MAKUBWA. Na kupata VIP Driving ni unatakiwa kuwa Class C123 baada ya kusoma Advanced Drivers Grade II.
Sasa wee umesema unaendesha magari madogo tu halaf una Class E. Halaf umesema unaendesha VIP ukiwa na Class AD na E. Really...?
Curious to know mkuu.
Na pia kuhusu kulipia leseni haina tatizo coz hata yangu iliisha ila sasa hivi naendesha na receipt tu ya malipo huku nikisubiria leseni. Wanaruhusu mbona.
Thanks.
Basi nakushauri mkuu pata na licence yakuendesha na magari makubwa, life la sasa hivi nikupiga kazi yoyote iliyo halali na wala sio kusubilia kunyonga tie na kula kipukwe ofisini au kwenye gari!Niliona tangazo Mkuu lakin sikuweza kuomba, walihitaj lesen class C na pia sina uzoefu kwenye malori mi naendesha VIP tuu
Nashukuru mkuu nitajitahid pia kutafuta connection kwenye malori kupata uzoefu pia, nashukuru sana kwa ushauri na nitaufanyia kazi mkuu. Shukrani sana ubarikiweBasi nakushauri mkuu pata na licence yakuendesha na magari makubwa, life la sasa hivi nikupiga kazi yoyote iliyo halali na wala sio kusubilia kunyonga tie na kula kipukwe ofisini au kwenye gari!
Nimependa sana unajua kutolea maelezo jadidifu pindi uulizwapo swali!
Mkuu nimejaribu kuku pm lakini sijafabikiwa naomba tuwasiliane tafadhaliOk sawa.
So kwasasa upo Dar right?
Wadhamini wawili wa kukudhamini ili upate kazi unao?
Usijali ntakupigia!Mkuu nimejaribu kuku pm lakini sijafabikiwa naomba tuwasiliane tafadhali
Matapeli waliotangazaMkuu Coca Cola Beverage Africa walitangaza nafasi 10 za madereva zakuendesha magari makubwa yakusambaza soda zao.. Sijajua kama uliziona au huwezi endesha hayo magari... Unaweza pita hapo pia ukadadisi mambo mawili matatu....
Hii kali sasa! Yaani mtu anaenda lipia tangazo kwenye gazette ili afaidike na nini sasa! Maana hadi email ni ya Coca Cola beverage Africa! Huyo Magreth Halla namjua!Matapeli waliotangaza
Mwisho wa siku watu walioomba walikua wanatumiwa ujumbe unaowataka waambatanishe 10,000Hii kali sasa! Yaani mtu anaenda lipia tangazo kwenye gazette ili afaidike na nini sasa! Maana hadi email ni ya Coca Cola beverage Africa! Huyo Magreth Halla namjua!
Huyu jamaa kuna sehemu aliwahi kunijibu mbovu sana
Nikajua labda aliamka vibaya kumbe ni asili yake..
Kwa kweli kama ndo hali halisi bora ujiondokee tu.
You look to be trustless, why left all those institutions?I am experienced grade II driver working with different companies and leaders driving 5000-7000 km per month with more than two years experience. I have verse experience in Tanzania road regulations and topography driving in rough road and tarmac road in major cities and areas in rural areas in Tanzania.
I have experienced in transport logistics, car maintenance, defensive driving. I have it all from attending and qualify in Tanzania Institute of Transport ( NIT ).
I am fluent in two languages English and Swahili. I am able to make arrangements for trip I have experienced in Tanzanian roads.
I also have experience in Microsoft word, Excel and Power point and I'm using this for fleet management.
Education level- form four 7 passes.
NIT- VIP grade II driving course.
Experience.
Member of a Parliament driver 1 year.
Chauffeur driver, Mikono speakers company. 1 year
Personal driver VIP, 6 month,
Uber driver 3 month.
Fluent in Swahili and English language
Ability to work as team.
Ability to work as marketer and distribution driver.
Ability to work under less supervision.
If interested and you need me to work with you or your organization you may contact me through.
0625-872867
Driver job is quit different to other jobs, it is not guaranteed due to unlimited contracts, it depends on the nature of the work wether periodically or permanent.You look to be trustless, why left all those institutions?
Kaka habari, naomba nikumbuke kaka naona kama umenisahau hivi,Usijali ntakupigia!
Mkuu, nimefurahishwa sana na jinsi ulivyoliweka tangazo lako na uwezo wako wa kujieleza.NIMERUDIA UZI HUU KWA MARA NYINGINE TENA NDUGU ZANGU TUPATE KUKUMBUKANA MAANA VYUMA VIMEKAZA.
I am experienced grade II driver working with different companies and leaders driving 5000-7000 km per month with more than two years experience. I have verse experience in Tanzania road regulations and topography driving in rough road and tarmac road in major cities and areas in rural areas in Tanzania.
I have experienced in transport logistics, car maintenance, defensive driving. I have it all from attending and qualify in Tanzania Institute of Transport ( NIT ).
I am fluent in two languages English and Swahili. I am able to make arrangements for trip I have experienced in Tanzanian roads.
I also have experience in Microsoft word, Excel and Power point and I'm using this for fleet management.
Education level- form four 7 passes.
NIT- VIP grade II driving course.
Experience.
Member of a Parliament driver 1 year.
Chauffeur driver, Mikono speakers company. 1 year
Personal driver VIP, 6 month,
Uber driver 3 month.
Fluent in Swahili and English language
Ability to work as team.
Ability to work as marketer and distribution driver.
Ability to work under less supervision.
If interested and you need me to work with you or your organization you may contact me through.
0625-872867
Mkuu, nimefurahishwa sana na jinsi ulivyoliweka tangazo lako na uwezo wako wa kujieleza.
Sina connection ya moja kwa moja ya kazi, lakini apply kwa hii kazi hapa chini ya US Embassy Tanzania, deadline ni tarehe 8 January, nimeangalia vigezo hapa naona umefiti kabisa.
Pia, nicheki PM nikupe email ya watu wa HR kwenye kampuni niliyopo utupie CV yako na application letter, kuna uhitaji mkubwa wa madereva,japokua hawajatangaza lakini ukiapply utakua kwenye nafasi nzuri in case wakahitaji dereva haraka haraka (I am not promising you anything, but lets just try-nimejaribu kuku-PM but i couldnt)
Mr Kazi
Nashukuru sana mkuu, lakini mimi si Muislamu. Ila ni msamaria tuu ambae nimeguswa na tatizo la Mr Kazi, na nikavutiwa na alivyoweza kujieleza vizuri, hivyo nikaona nitoe msaada japo mdogo kwa kadri nilivyojaaliwa na Mwenyezi Mungu aliyeumba watu wote (Waislamu,Wakristu,Wapagani,Wabudha,Weusi,Weupe,Wafupi,Warefu, etc)Safi kabisa. Unaonekana wewe ni Muislamu.
Maana una moyo wa kusaidia.