Driver job seeker

Driver job seeker

Uber unashindwaje kuleta hesabu ya 40k au 50k kwa siku? Mbona kwa uber hyo ni hesabu ya kawaida tu au ulikuwa unataka mtelezo?
Uber ilipoanza ilikuwa ni rahisi kufikisha hata laki kwa siku saivi madereva ni weng abiria pia wamepungua, hesab ya 40 au 50 kwa siku ni kubwa. Mafuta yangu, traffic nakabikiana nao, nakesha Mimi kumbuka wew utataka hela hujui magumu nayopitia. Hesabu halali kwa sasa kwa madereva wa uber ni 30 kwa siku tofauti na hapo utakuwa unamfanyia kazi mwenye gari
 
Umenikosha mkuu,natamani ningekuwa na kampuni yangu nikuhodhi kabisaaa(kidding )... Mungu akusimamie upate hitaji lako aisee na sehemu utakayomrudishia yeye utukufu.
Utapata mkuu na upate kampuni yako hata kama sio Mimi kuna wengine utawainua kwa namma moja au nyingine.

Nashukuru kwa maombi yako ubarikiwe sana.
 
Sina kazi kwa sasa, kwa mbunge nimeacha kutokana na kukaa muda mrefu bila kazi, kipindi cha bunge nampeleka dodoma halaf anananiambia nirudi anatumia tax kwenda na kurud bungeni, bunge likiisha naenda kumchukua, kazi tena mpaka ziara za jimbo au kipindi cha uchaguzi. Kipato napata kukiwa na kazi kazi hamna kipato hamna.

Mikono speakers nimeacha uongozi ulibadilishwa akaja boss anakejeli hamna mfano, ukimpitisha njia fulani hataki anakwambia unanipitisha njia gan hizi sihitaj kuona maskini au mitaa mibovu, kukutukana mbele za watu ni kawaida, hana ukomo na muda wa kazi na ukikataa anakukata Malipo muda mwingine mpaka sa nne usiku nipo nae.

Mtu personal nilyekuwa namuendesha yuko China kikazi miezi sita kazi imesimama.

Uber nimeacha madereva ni wengi, boss anakomaa hesabu 40 mpaka 50 kwa siku kitu ambacho hakiwezekani nikaona nimpe gar yake maana sio mwelewa.
aisee huyo jamaa ambaye hataki kuona masikini natamani nimuone kwa sura.
 
aisee huyo jamaa ambaye hataki kuona masikini natamani nimuone kwa sura.
Yupo mikocheni, senga street kampuni inaitwa EXCEL MANAGEMENT zamani MIKONO SPEAKERS. Boss ni mke wake lakini jamaa ndo anasimamia kwa sasa mke kajifungua yuko nyumbani sasa jamaa ananyanyasa wafanyakazi hamna mfano. Mwanamke hakuwa na hayo mambo. Jamaa anaitwa DEOGRATIUS KILAWE siwez msahau huyu jamaa.
 
Bro kingereza nimejua mda sijakijua hapa jf kwa ajili ya kuomba kazi, nna uhakika kingereza nnacho ongea Mimi wewe bado sana japo elimu yangu form four, Acha kejeli Niko serious natafuta kazi sifurahishi mtu hapa
Inaonesha hujawahi fanya kazi,kama kweli hiyo hapo juu ndiyo CV yako na huna kazi then Kuna tatizo either kwenye customer service yako,na inaonesha hujawahi Ata fanya interview wewe na mpaka hapa kwa hii comment yako huwezi pata kazi daima,labda kazi ya kupeleka wake za watu guest tuu maana madereva wa hivyo ndio huwa wana akili kama yako.
 
Yupo mikocheni, senga street kampuni inaitwa EXCEL MANAGEMENT zamani MIKONO SPEAKERS. Boss ni mke wake lakini jamaa ndo anasimamia kwa sasa mke kajifungua yuko nyumbani sasa jamaa ananyanyasa wafanyakazi hamna mfano. Mwanamke hakuwa na hayo mambo. Jamaa anaitwa DEOGRATIUS KILAWE siwez msahau huyu jamaa.
Huyu jamaa kuna sehemu aliwahi kunijibu mbovu sana
Nikajua labda aliamka vibaya kumbe ni asili yake..
Kwa kweli kama ndo hali halisi bora ujiondokee tu.
 
Inaonesha hujawahi fanya kazi,kama kweli hiyo hapo juu ndiyo CV yako na huna kazi then Kuna tatizo either kwenye customer service yako,na inaonesha hujawahi Ata fanya interview wewe na mpaka hapa kwa hii comment yako huwezi pata kazi daima,labda kazi ya kupeleka wake za watu guest tuu maana madereva wa hivyo ndio huwa wana akili kama yako.
Bro kwani kuna sehemu imeandikwa lazima ukoment kwenye hii post, ukijiona huna msaada pita tuu sijakulazimisha, wapo wenye uhitaji watakuja sio lazima wew naona unaleta kunijua sana, Nna mazur mengi tuu ambayo huyajui ila kunyanyaswa au kutopewa haki zangu muhimu kama mfanyakazi siwezi kubaliana na hilo, Sina matatizo yoyote ila nna matatizo na wajuaji kama wewe kamwe siwez fanya kaz na MTU kama wew. Pita tuu sio lazima uoneshe unajua kucoment. Jiheshimu utaheshimiwa
 
Huyu jamaa kuna sehemu aliwahi kunijibu mbovu sana
Nikajua labda aliamka vibaya kumbe ni asili yake..
Kwa kweli kama ndo hali halisi bora ujiondokee tu.
Nashukuru umemfahamu na ushawahi onana nae, ndivyo alivyo ana changamoto sana huyu jamaa. Tuko pamoja ndugu shukrani kwa mchango wako
 
Bro kwani kuna sehemu imeandikwa lazima ukoment kwenye hii post, ukijiona huna msaada pita tuu sijakulazimisha, wapo wenye uhitaji watakuja sio lazima wew naona unaleta kunijua sana, Nna mazur mengi tuu ambayo huyajui ila kunyanyaswa au kutopewa haki zangu muhimu kama mfanyakazi siwezi kubaliana na hilo, Sina matatizo yoyote ila nna matatizo na wajuaji kama wewe kamwe siwez fanya kaz na MTU kama wew. Pita tuu sio lazima uoneshe unajua kucoment. Jiheshimu utaheshimiwa
Sawa,so kila unapofanya kazi unanyanyaswa thats why hutulii kwenye ajira?
Ngoja nikwambie dogo,inawezekana kabisa ukawa ni mfanyakazi mzuri sana,pia naweza kuwa msaada kwako ingawa unaendekeza dharau,ebu kuwa wazi,nini kinakufanya kuacha/kutopata ajira ya kudumu?manyanyaso gani unafanyiwa?
Kuwa wazi upate msaada.
 
Sawa,so kila unapofanya kazi unanyanyaswa thats why hutulii kwenye ajira?
Ngoja nikwambie dogo,inawezekana kabisa ukawa ni mfanyakazi mzuri sana,pia naweza kuwa msaada kwako ingawa unaendekeza dharau,ebu kuwa wazi,nini kinakufanya kuacha/kutopata ajira ya kudumu?manyanyaso gani unafanyiwa?
Kuwa wazi upate msaada.
Sio kila nnapofanya kazi nanyanyaswa, mbunge niliachana nae kutokana na kukaa bench mda mrefu bila kuwa na uhakika wa kipato, kipato ni kukiwa na kazi,

Nikapata kazi mikono speakers nimefanya miezi kumi bila matatizo boss wa kike alipoondoka madaraka akaachiwa bwana DEO hali ikabadilika

Kazin natakiwa kuripot saa mbili lakini boss anataka nimfuate kwake saa moja kamili na gari inalala ofisini.

Dharau, kejeli maongez yake ni kuponda tuu hajawahi kusifia

Mda wa kula unampeleka sehem ambayo mi siwez Ku afford na anakunyima kwenda sehem nyingine kula, hivyo nashinda njaa

Mda wa kaz unaisha ye bado anasafar zake hatak niondoke nitazunguka nae mpaka sa nne usiku gari napaki kwake kesho saa moja niwe nimefika.

Matus mbele za watu, dharau za kila aina kejel na majigambo, ashawahi kunimwagia maji sababu ya kudai haki yangu.

Na mengine mengi tuu. Nkaamua kuacha.

Nkapata kwa jamaa anaitwa ASAD ni raia wa Pakistan nimefanya nae kaz miez 6, kapata kaz nje nchini China miez 6, nikakosa kazi.

Nkaendesha gar ya mtu uber, hali ni mbaya mwenye gari haelewi anataka hesab 40,000 mafuta niweke Mimi, traffic wakiona namba nyeupe ni kikwazo kwao utapigwa mkono kila sehem, mwisho wa siku bila 40 tajir haelewi nakesha usiku mzima kufanya kazi ili nifikishe hesab yake, nimemweleza tajir na kumuomba Mara kadhaa ashushe hesab anaona hela ndogo. Kuliko kugombana au kufika mbali nikaona nimuachie gari yake.

Sina matatzo na mabosi sijapata sehem ya uhakika na mkataba wa kueleweka.

Kama umeelewa nashukuru
 
Sio kila nnapofanya kazi nanyanyaswa, mbunge niliachana nae kutokana na kukaa bench mda mrefu bila kuwa na uhakika wa kipato, kipato ni kukiwa na kazi,

Nikapata kazi mikono speakers nimefanya miezi kumi bila matatizo boss wa kike alipoondoka madaraka akaachiwa bwana DEO hali ikabadilika

Kazin natakiwa kuripot saa mbili lakini boss anataka nimfuate kwake saa moja kamili na gari inalala ofisini.

Dharau, kejeli maongez yake ni kuponda tuu hajawahi kusifia

Mda wa kula unampeleka sehem ambayo mi siwez Ku afford na anakunyima kwenda sehem nyingine kula, hivyo nashinda njaa

Mda wa kaz unaisha ye bado anasafar zake hatak niondoke nitazunguka nae mpaka sa nne usiku gari napaki kwake kesho saa moja niwe nimefika.

Matus mbele za watu, dharau za kila aina kejel na majigambo, ashawahi kunimwagia maji sababu ya kudai haki yangu.

Na mengine mengi tuu. Nkaamua kuacha.

Nkapata kwa jamaa anaitwa ASAD ni raia wa Pakistan nimefanya nae kaz miez 6, kapata kaz nje nchini China miez 6, nikakosa kazi.

Nkaendesha gar ya mtu uber, hali ni mbaya mwenye gari haelewi anataka hesab 40,000 mafuta niweke Mimi, traffic wakiona namba nyeupe ni kikwazo kwao utapigwa mkono kila sehem, mwisho wa siku bila 40 tajir haelewi nakesha usiku mzima kufanya kazi ili nifikishe hesab yake, nimemweleza tajir na kumuomba Mara kadhaa ashushe hesab anaona hela ndogo. Kuliko kugombana au kufika mbali nikaona nimuachie gari yake.

Sina matatzo na mabosi sijapata sehem ya uhakika na mkataba wa kueleweka.

Kama umeelewa nashukuru
Ok sawa.
So kwasasa upo Dar right?
Wadhamini wawili wa kukudhamini ili upate kazi unao?
 
Yupo mikocheni, senga street kampuni inaitwa EXCEL MANAGEMENT zamani MIKONO SPEAKERS. Boss ni mke wake lakini jamaa ndo anasimamia kwa sasa mke kajifungua yuko nyumbani sasa jamaa ananyanyasa wafanyakazi hamna mfano. Mwanamke hakuwa na hayo mambo. Jamaa anaitwa DEOGRATIUS KILAWE siwez msahau huyu jamaa.
Deo kama anasikia aache majivuno na unyanyasaji wake
 
Mkuu Coca Cola Beverage Africa walitangaza nafasi 10 za madereva zakuendesha magari makubwa yakusambaza soda zao.. Sijajua kama uliziona au huwezi endesha hayo magari... Unaweza pita hapo pia ukadadisi mambo mawili matatu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom