Drip Irrigation Pipes zinauzwa

Drip Irrigation Pipes zinauzwa

Habari wakuu..kuna project naanda ya drip irrigation so naomba msaada wa estimation ya cost kwa eka au kama kuna mdau ana project plan ya hii mambo naomba anisaidie
Andaa mil 1.4 nije nikufungie mkuu
 
Andaa mil 1.4 nije nikufungie mkuu
Me sina shamba lasimi ndo kwanza na maliza chuo mwaka huu so nataka niwe na project plan yangu nikimaliza chuo niwe nayo kwa future implementation nimeenza kuandika kunavipingele vinanishumbua kwenye ku estimate cost kuanzia kisima hadi kupeleka maji shambani kama Mwenye sample naomba tuwasiliane
 
Me sina shamba lasimi ndo kwanza na maliza chuo mwaka huu so nataka niwe na project plan yangu nikimaliza chuo niwe nayo kwa future implementation nimeenza kuandika kunavipingele vinanishumbua kwenye ku estimate cost kuanzia kisima hadi kupeleka maji shambani kama Mwenye sample naomba tuwasiliane
kwanza tambua aina ya kisima, kama ni cha drill kila sehem ina umbali wake kufikia maji, wastani ni mita 50 deep ndo unayapata, na wachimbaji wanatofautiana gharama kwa mita, zinaanzia 40,000-60,000/=Tsh kwa mita moja,pia pump zake ni kati ya 1Mil hadi 2.5Million ,pia kuna mabomba nazan kati ya 1000 hadi 1500 kwa mita, hii inategemea na kipenyo na quality, fundi nk, karibu ktk ulimwengu wa kilimo

irrigation scientist.
 
kwanza tambua aina ya kisima, kama ni cha drill kila sehem ina umbali wake kufikia maji, wastani ni mita 50 deep ndo unayapata, na wachimbaji wanatofautiana gharama kwa mita, zinaanzia 40,000-60,000/=Tsh kwa mita moja,pia pump zake ni kati ya 1Mil hadi 2.5Million ,pia kuna mabomba nazan kati ya 1000 hadi 1500 kwa mita, hii inategemea na kipenyo na quality, fundi nk, karibu ktk ulimwengu wa kilimo

irrigation scientist.
Kuna nimeongea nao Wapo arusha mura 1 wanafanya 15000 contact zao ninazo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom