Dressing table inauzwa bei poa

Dressing table inauzwa bei poa

sijui aina ya mbao mkuu ila kama unavoiona ni haijatumika mda mrefu na kioo kiko safi hakijapasuka. nicheck 0653116399
Mmmmh hujui ni material aina gani [emoji15] Ni yako umeiba au ulihongwa??
 
m
Mmmmh hujui ni material aina gani [emoji15] Ni yako umeiba au ulihongwa??
mkuu kwani ni lazima kujuaa aina ya mbao? we unavoona hapo kwenye picha ni mbao aina gani? unavoiona ndivo ninavoiona.pia kuwa mstaarabu basi mkuu! lugha yako sio nzuri hiyo
 
m

mkuu kwani ni lazima kujuaa aina ya mbao? we unavoona hapo kwenye picha ni mbao aina gani? unavoiona ndivo ninavoiona.pia kuwa mstaarabu basi mkuu! lugha yako sio nzuri hiyo
Si lazima kujua aina ya material ya bidhaa kufahamu ubora wake??? [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Si lazima kujua aina ya material ya bidhaa kufahamu ubora wake??? [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mkuu shida yako nini? unahitaji nini? mambo mengine madogo unataka kuyakuza ili iweje? sidhani kama unafaa kuwa Great Thinker!!! kama unaona nimekosea au kama unafahamu unashindwa kunisahihisha? au kama hununui si bora ukae kimya? why utumie lugha chafu? em jaribu kubehave afu usikute naonghea na mtu mzima mwenye uwezo wa hata kunizaa na hata kama we ni kijana mwenzangu why unakomalia vitu ambavyo ni vyepesi kueleweka? unafaa kuwa Instagram sasa hivi wewe
 
Duh! Awamu hii ya viwanda watu wanauza sana vitu vya ndani.
 
Mkuu shida yako nini? unahitaji nini? mambo mengine madogo unataka kuyakuza ili iweje? sidhani kama unafaa kuwa Great Thinker!!! kama unaona nimekosea au kama unafahamu unashindwa kunisahihisha? au kama hununui si bora ukae kimya? why utumie lugha chafu? em jaribu kubehave afu usikute naonghea na mtu mzima mwenye uwezo wa hata kunizaa na hata kama we ni kijana mwenzangu why unakomalia vitu ambavyo ni vyepesi kueleweka? unafaa kuwa Instagram sasa hivi wewe


kuwa greatthinker ni kupost thread ya kuuza bidhaa na hujui sifa za bidhaa yako??
 
Mimi sio mnunuzi........
ILA ninapenda kukupa HONGERA SANA mleta mada kwa Majibu mazuri na yenye busara kwa waulizao bila mantik.
GT
 
Mimi sio mnunuzi........
ILA ninapenda kukupa HONGERA SANA mleta mada kwa Majibu mazuri na yenye busara kwa waulizao bila mantik.
GT
asante sana Mkuu, your line means a lot to me!!
 
kuwa greatthinker ni kupost thread ya kuuza bidhaa na hujui sifa za bidhaa yako??
Umempa changamoto, ila ni vyema tusiwe "ignorant" kwa vitu vya msingi. Lazima mnunuzi/muuzaji uwe na taarifa za kutosha na sahihi kuhusiana na bidhaa yako. Wakati wote, taarifa sahihi huleta maamuzi sahihi. Ni jambo la msingi kuuliza kuhusiana na "material" iliyotumika nk kulingana na aina ya bidhaa. Mara zote tumekuwa tunapuuzia vitu vya msingi halafu tunatafuta "justification".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom