Dreamliner kwa sasa inapiga ruti za wapi?

Ni juzi tu,mwezi June..kampuni ya MONARCH AIRLINES ililazimika kuacha anga na kukabidhi kampuni kwa wafilisi kutokana na madeni($200mil)...kwa ushauri tu ‘si vyema kuanza safari za kimataifa’ huku TSH ikiwa inafanya vibaya dhidi ya USD
*Uzoefu wa safari walau za Afrika Mashariki kwa muda wa 1-2year...then ndipo international.
*Ni mara yetu ya kwanza kumiliki ndege kama hiyo($150mil~TSH 300bn)...si vyema kupoteza hiyo hela yoote kwenye hasara kwa makosa ya uendeshaji,kama ilivokua awali.
 
Kwa hiyo sasa ivi inaenda wapi? Imepaki? Au bado inapiga Dar-kjro-mza?
 
Ni juzi tu,mwezi June..kampuni ya MONARCH AIRLINES ililazimika kuacha anga na kukabidhi kampuni kwa wafilisi kutokana na madeni($200mil)...kwa ushauri tu ‘si vyema kuanza safari za kimataifa’ huku TSH ikiwa inafanya vibaya dhidi ya USD
*Uzoefu wa safari walau za Afrika Mashariki kwa muda wa 1-2year...then ndipo international.
*Ni mara yetu ya kwanza kumiliki ndege kama hiyo($150mil~TSH 300bn)...si vyema kupoteza hiyo hela yoote kwenye hasara kwa makosa ya uendeshaji,kama ilivokua awali.
Wewe usitupangie mh alisema analeta ndege ya kutoka tz mpk kwa trump hakusema haya unayosema ww
 
Wewe usitupangie mh alisema analeta ndege ya kutoka tz mpk kwa trump hakusema haya unayosema ww

Inawezekana hakuyasema,lakini pengine ‘anayafikiria’...Au akaja kuyafikiria baadae
*Ninakumbuka ile 2014 MH370,ilivopotea iliigharimu Malaysia $50mil kuitafuta bila mafanikio UAV(underwater Automative vessels) iliyozunguka eneo la maili 300,000...Ikailazimu serikali kuachana na mpango wa hiyo ndege.
*Kabla ya kuanza safari za mbali,ni lazima kujiimarisha sana kwa Bima & fedha,teknolojia kwa ujumla...sasa hata Bima ya Dreamliner ya Tz sijui hata kama imekatiwa hapa au mtoni
*Pia hata uanachama wa IATA nao ni kizunguzungu nacho
 
Back
Top Bottom