Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Kuna mtu kayakanyaga huku
Screenshot_2023-12-28-14-20-44-22.jpg
 
Master nitakuwepo kuanzia mida ya saa 4 na nusu panapo majaaliwa kutoa dozi matata , nasubiri viande mjitokeze maana bado mna niogopa sana humu.
 
Kiande mwenzio Fene kqnusurika kupigwa Tabulele kama Makolo akaamua acheleweshe muda dakika za mwishoni kukimbilia kwa kipa kama mtoto mdogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji38]View attachment 2861263
Hahhhhhhhhhhh kwahiyo ulivompasua kibonde Fene ukahisi tayari unaweza kucheza na Mimi na nisikifunge Goli tano [emoji16]
 
Back
Top Bottom