Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Kuna mtu kayakanyaga huku
Screenshot_2023-12-28-14-20-44-22.jpg
 
Master nitakuwepo kuanzia mida ya saa 4 na nusu panapo majaaliwa kutoa dozi matata , nasubiri viande mjitokeze maana bado mna niogopa sana humu.
 
Hahhhhhhhhhhh kwahiyo ulivompasua kibonde Fene ukahisi tayari unaweza kucheza na Mimi na nisikifunge Goli tano
Hii mechi ya pili Jana nimesikitika sana ,kwa nini sikumpiga kono la nyani Mr Kiande Fene ? DKK ya 21 Tu Kala chuma 3..
IMG_20240104_123327.jpg


Mechi ikaisha hv so Sad...
IMG_20240104_123338.jpg
 
Back
Top Bottom