Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Next time Kijana Yani huku nilipo net ni usenge tu. Game nachezea H+ Yan ni mikwamo tu
Screenshot_2023-11-17-23-51-14-88_7f24feae7b5e1c4a7a37a4a710799f37.jpg
 
Ndugu yangu adriz Assalam alaykum akhiy

Naomba uuelezee umma tafadhali nini kilikukuta jana
Na uwaelezee watu jinsi gani hamsa zinavyouma , maana uliwacheka sana makolo hatimae nawe yamekufika


Cc; Wakipekee
 
Haya Wanadream nimeweka bango hapo na nyiny mkipita mlione, ila chonde tafadhali ningeomba msaada wenu wa kifedha na kivinginevyo wa ku-run kesi endapo ndugu bwana adriz ataamua kulifikisha hili jambo katika vyombo vya sheria kwa kutumia logo yake pasi na idhini yake

Nawasilisha.......
Screenshot_20231117-231733_1.jpg
 
Nimejitahidi wakati ulikuwa unahemea mipira



Tena kuanzia sasa nakutaka ukiwa sehemu utahis network ipo vizuri nikuonyeshe boli linavyochezwa
Yani we bado sema siwez kuangaika kuambia net wkt nimekuonesha nachezea Game H+ ingekuwa 4G we ni mwepes sn
 
Haya Wanadream nimeweka bango hapo na nyiny mkipita mlione, ila chonde tafadhali ningeomba msaada wenu wa kifedha na kivinginevyo wa ku-run kesi endapo ndugu bwana adriz ataamua kulifikisha hili jambo katika vyombo vya sheria kwa kutumia logo yake pasi na idhini yake

Nawasilisha.......View attachment 2817111
Ss huyo sikazoea 5 tano
 
Back
Top Bottom