adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,539
- 33,787
Mara ya mwisho kabla ya Kuuza simu yangu yenye uwezo mzuri ,nilimkanda Fene siku mbili mfulilizo mpaka akaSurrender mwenyewe na haleti ubishi akibisha makaburi yapo humu.
Kuhusu unalodai ningependa ueleze kwa kina maana Master sina rekodi mbovu kama hiyo.
