Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Akhsanteenh We tu Pekee yako Bro ndy Unaweza kunichallenge kwenye Huu Uzi .

Ndy maana kuna Siku nilisema km Master sio Mi au Weapo (Eng ibird ) ndy tunaestahiri ilo Jina na sio Mtu Mwingne
Oya ww jamaaleo nliona kbs umenikamia kaka daahhuo ukamiaj sio poa ni moto unanipelekea mpk mwenyew najiona sio mm wa siku zote ninavyocheza
 
Oya ww jamaaleo nliona kbs umenikamia kaka daahhuo ukamiaj sio poa ni moto unanipelekea mpk mwenyew najiona sio mm wa siku zote ninavyocheza
We si nilikuambia Utanipa Umaster mwenyewe maana we katika huu uzi ndy ulienifunga Pekee yako Japo Leo nimelipa kisasi tukutane Siku nyngne
 
Maana Eng ibird ni Mchezaj mzr lkn alipoanza kucheza Tuntura nikajua tayari Mbinu zimeshamuisha ni time ya kutapata kutafuta Chochote kitu
 
Back
Top Bottom