Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Tuweke saa mpk dakika ili tumkamate atakayekimbia sasa mimi niatakuja saa 11 jioni kamili mpk na dkk 10 mwisho wa kukusubiri ,ukilosa hapo ni night kuanzia saa 4 kamili mpk na dkk kimi.

Zingatia muda huo usitoke online hata kama mmoja asipokuwepo dakika kumi za kumsubiri.
 
Oi wadau mi na idea kwanini tusianzishe ligi...
Ili tujue mbabe Hadi kibonde....
 
Hili ninali licheza mm sio la online ukitak la online pia lipo wamelito la qatar yani hilo hukucheza utasema praystation4 umeiweka kweny cm unachagua mpaka style ya mchezaji kushangilia
Naomba link ya hilo la offline
 
Tuweke saa mpk dakika ili tumkamate atakayekimbia sasa mimi niatakuja saa 11 jioni kamili mpk na dkk 10 mwisho wa kukusubiri ,ukilosa hapo ni night kuanzia saa 4 kamili mpk na dkk kimi.

Zingatia muda huo usitoke online hata kama mmoja asipokuwepo dakika kumi za kumsubiri.
Ww kiande twendee nikakunyooshe
 
Back
Top Bottom