Kituo cha Tv cha Tv1 kimeripoti kua nchi ya Congo imeanza teknolojia ya kutumia Robot kuongoza watumiaji wa barabara nchini humo,
Mpango huo umeonyesha mafanikio makubwa ya kupunguza foleni na uvunjifu wa sheria za barabarani kwani marobot yameunganishwa na mfumo wa electronic unaowanasa wanaokiuka sheria za barabarani.
JE kwetu Tanzania tuna mipango gani.
Kituo cha Tv cha Tv1 kimeripoti kua nchi ya Congo imeanza teknolojia ya kutumia Robot kuongoza watumiaji wa barabara nchini humo,
Mpango huo umeonyesha mafanikio makubwa ya kupunguza foleni na uvunjifu wa sheria za barabarani kwani marobot yameunganishwa na mfumo wa electronic unaowanasa wanaokiuka sheria za barabarani.
JE kwetu Tanzania tuna mipango gani.
Nini uelewa wako kuhusu "robot" za kuongoza watumiaji wa barabara?.......mbona robot zipo bongo ila features tu ndio zinatofautiana.....kuna robot zilizounganishwa na camera au loop detectors nk nk.......Traffic laws zikiwekewa mkazo hakutakuwa na upuuzi wa daladala....leave alone other road users.......
Binafsi nadhani tofauti kubwa iliyopo ni kwamba hii robot ya Congo imetengenezwa na ma engineers wazawa, tofati na za kwetu. Ni mfano mzuri wa kuigwa na nchi zote Afrika.
unaweza kutuwekea picha mkuu......au wanaziitaje hizo robot zao?....kama hilo ndio suala.....it is very interesting to know..........wamefanya kitu gani tofauti na teknolojia zilizopo.......
Hahahahaha!Sioni umuhimu wa hilo "robot", traffic lights zetu zinatosha sana zikiwekwa kwenye mfuo mzuri na ziwe zinafanya kazi muda wote, subiri hiyo robot usiku wanazi wakaibebe watimke nayo mbiyo ndiyo watajua!
Ogah, ngoja niitafute video yenyewe.
Ogah, hii ndio video yenyewe.
Hii video inatuonyesha ni vipi elimu inaweza kutumika kubadilisha maisha ya mwanadamu. Robot na traffic lights zipo chungu tele Dunia. Lakini pale inapoundwa na ndugu yako, rafiki yako, au jirani basi hutia faraja sana moyoni. Unaweza kumaliza vyuo vya Computer Engineering bila hata kuwa na motisha ya kutengeneza an App ya kawaida ya kuwasaidia binadamu wenzako, lakini huyo mwanamama anaonyesha jinsi gani penye nia hapakosi njia.
unaweza kutuwekea picha mkuu......au wanaziitaje hizo robot zao?....kama hilo ndio suala.....it is very interesting to know..........wamefanya kitu gani tofauti na teknolojia zilizopo.......