ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,117
- 49,840
Katika Hali ya kushangaza na ambayo haijatarajiwa Bwana Mutombo ambae wakati Fulani alikuwa Mshauri wa Rais wa Zamani wa DRC/Zaire ameonekana kwenye mitaa ya Jiji la Kinshasa akiwa omba omba.
View: https://twitter.com/east_facts/status/1713873680495722841?t=kMv4M9UxDcRrVwPSOTu_Ug&s=19
Swali.
Nini unadhani kimempata huyu bwana? Ni Karma au Karogwa?
Mwenzako akinyolewa na nyie Washauri wa Museveni tieni Maji.
View: https://twitter.com/east_facts/status/1713879375584600379?t=feMtLwL3Vc109TC-EeskIQ&s=19
View: https://twitter.com/east_facts/status/1713873680495722841?t=kMv4M9UxDcRrVwPSOTu_Ug&s=19
Swali.
Nini unadhani kimempata huyu bwana? Ni Karma au Karogwa?
Mwenzako akinyolewa na nyie Washauri wa Museveni tieni Maji.
View: https://twitter.com/east_facts/status/1713879375584600379?t=feMtLwL3Vc109TC-EeskIQ&s=19