Drama bungeni...

Drama bungeni...

galus saanane

Member
Joined
Sep 3, 2011
Posts
11
Reaction score
2
Mimi naona kama WANAIGIZA... kuzomea/ kuropoka OVYO / kutoka toka NJE OVYO/
kuzunguka zunguka Na KITI mda wote OVYO/
kula KALAMU/
hivi iyo ndio suluhisho ya hoja zinazofukiwa??
Wanaotetea CHAMA na sio waTANZANIA..
Inakera sana na ni aibu kutumia madaraka yako kukandamiza hoja za wengine!
Wengine hawana hoja wanabaki kutukanana./
ndio BUNGE TUKUFU kweli ??
 
Mimi naona kama WANAIGIZA... kuzomea/ kuropoka OVYO / kutoka toka NJE OVYO/
kuzunguka zunguka Na KITI mda wote OVYO/
kula KALAMU/
hivi iyo ndio suluhisho ya hoja zinazofukiwa??
Wanaotetea CHAMA na sio waTANZANIA..
Inakera sana na ni aibu kutumia madaraka yako kukandamiza hoja za wengine!
Wengine hawana hoja wanabaki kutukanana./
ndio BUNGE TUKUFU kweli ??
Mbona bado hujatueleza hizo drama?
 
Niliipenda ile kauli ya mbunge kutoka CUF, Sasa kama wabunge wa ccm ni mbu-mbu-mbu
 
... Leo kwenye kiti cha SPIKA yuko BIBI.
Sasa hivi ameanza kusoma hotuba kutoka kwenye kanuni za bunge kwa kuwasuta wabunge wa upinzani kuhusu Hoja binafsi...
kwa sasa ameanza kumsakama Mnyika kuhusu Hoja yake ya jana.
Bibi anamtaja Lissu kuwa ndiye kiongozi wa fujo bungeni.
 
Bunge limeahirishwa mpaka Kesho baada ya spika kusitisha ujadiliwaji wa hoja binafsi. Leo ilikuwa Ijadiliwe hoja ya mheshimiwa Nasari Kuhusu mchango wa baraza la mitihani katika kuzorotesha elimu Tanzania
 
Mimi naona kama WANAIGIZA... kuzomea/ kuropoka OVYO / kutoka toka NJE OVYO/
kuzunguka zunguka Na KITI mda wote OVYO/
kula KALAMU/
hivi iyo ndio suluhisho ya hoja zinazofukiwa??
Wanaotetea CHAMA na sio waTANZANIA..
Inakera sana na ni aibu kutumia madaraka yako kukandamiza hoja za wengine!
Wengine hawana hoja wanabaki kutukanana./
ndio BUNGE TUKUFU kweli ??
Hizo ndio pozi za kibunge , mwanangu.
 
Mimi naona kama WANAIGIZA... kuzomea/ kuropoka OVYO / kutoka toka NJE OVYO/
kuzunguka zunguka Na KITI mda wote OVYO/
kula KALAMU/
hivi iyo ndio suluhisho ya hoja zinazofukiwa??
Wanaotetea CHAMA na sio waTANZANIA..
Inakera sana na ni aibu kutumia madaraka yako kukandamiza hoja za wengine!
Wengine hawana hoja wanabaki kutukanana./
ndio BUNGE TUKUFU kweli ??
hapo kwenye red ndipo watz tulipojikwaa!!!

hivi fikiria bunge linatakiwa liwe tukufu lakini wamejaa watu ambao wengine wameforge mpaka uraia, wamehonga vitumbua, wame empty hazina ya nchi ili wapate huo ubunge! Hii ni dhahiri kuwa bunge haliwezi kuwa tukufu tema maana limejaa namba kubwa ya mashetani (amini usiamini)!
Ni sawa na kusema kuwa majambazi, wala rushwa wakuu na wazinzi wanaweza wakajikusanya kanisani/msikitini mpaka wakawa mapadri na mashehe alafu hayo makanisa/misikiti yakaendelea kuwa sehemu sawa na matakatifu!

 
haina kuremba hii, tukizubaa nchi inamaliziwa kuuzwa kipande kilichobaki. bunge hili lina timu babkubwa kutoka upinzani inayopangua uchakachuaji wa hoja, waendelee hivyohivyo, hata ndoa inatajwa ni takatifu lakini ndani hapakosi bifu, hivyo hata kama bunge ni tukufu halikosi kasoro za kibinadamu.binafsi nalikubali ile mbaya.
 
Back
Top Bottom