b. There are seems to be a new political horizon emerging as we enter the new year. Within the past few hours we have been alerted on the possibility of "something big" to happen soon. As far as we could gather our intelligence it seems what is going to happen has to do with the recent confrontation between the members of Mwalimu Nyerere Foundation and some CCM's cadres. So, lets watch carefully what is going to unfold. We might be witnesses to a the most transformative event of our time that will reshape the political spectruam and ideological make up of our nation. It'll be interesting to behold.
Wana CCM walivyo waoga?? Can't see anybody leaving CCM, alteat siyo hiki kizazi!!!
Wana CCM walivyo waoga?? Can't see anybody leaving CCM, alteat siyo hiki kizazi!!!
Wana CCM walivyo waoga?? Can't see anybody leaving CCM, alteat siyo hiki kizazi!!!
Section 8(2) na (3) vinazungumzia citizen kupewa leseni lakini katika interpretation section 3 haija-define citizen ni yupi? na hakuna popote sheria inapoturuhusu kutumia interpretation toka sheria nyingine.
Wasiwasi wangu hapo ni kuchukulia mkaazi yeyote kuwa ni citzen au kuchukua mtu mwenye dual citizenship kuwa citizen. Nashauri watu wenye uraia wa nchi mbili wasiruhusiwe kwani hawa ni vigeugeu, na sheria ya uraia itumike kikamilifu.
Section 19(1) na (3) :Rais amepewa madaraka makubwa sana ya kumteua commissioner na deputy commissioner, na hakuna chombo cha kumuuliza juu ya uteuzi huo. Huu ni udhaifu mkubwa.
Napendekeza kuwepo na chombo cha kuidhinisha uteuzi wa commissioner, na uteuzi wa deputy wake ufanywe na chombo kingine tofauti na rais
Nitaendelea kuchambua