Draft Anna Kajumulo Tabaijuka for President 2015

kitufe cha "THANKS" sikioni mkuu
Watanzania bana, yaani mtu kuwa kiongozi wa UN Habitat tayari anafaa kuwa Rais wa Tanzania? Au ni kwa sababu ni mwanamke?

Kwa maoni yangu mtu yeyote anayetaka kuwa Rais wa Tanzania lazima tumpime kwa aliyoifanyia Tanzania na siyo ahadi za blah blah kama alizotupa JK za Maisha Bora kwa kila Mtanzania. Kuwa Professor si kigezo, kuwa kiongozi UN si kigezo...tusifanye makosa tuliyoyafanya kwa JK.

Watu wengine mnatia hata hasira, mwingine alikuja hapa jamvini eti Dr. Rose Migiro anafaa...ukimuuliza sababu eti ooh ameshaongoza taasisi kubwa duniani yaani UN. Kungekuwa na kitufe cha kumchapa makofi ningmchapa hata makofi 10.
 
kwa gamba hamuwezi kunishawishi kwa lolote.kwa kuwa yuko kwenye chama cha magamba na yeye ni gamba
 
kwa gamba hamuwezi kunishawishi kwa lolote.kwa kuwa yuko kwenye chama cha magamba na yeye ni gamba

uko katika nchi inayoongozwa na magamba na wewe ni gamba....viongozi ni zao la jamii hawajazaliwa Mars, Jupiter wala Netune hawa......ni magamba ya tanganyika huru ambayo na wewe umo

mix with yours
 
anafaa sana lakini tatizo ni hicho chama alichomo.
kuhusu hapo kwere red, hiyo in apply zaidi kwa wanaume maana wamama wana uchungu na ni wakweli kwa kiasi fulani ukilinganisha na 'midume'
Please! Utafikiri namwona vile anavyosema "ngangana":biggrin1:

Lakini tukiacha hiyo "lakini mkara" aliyoikemea Mwalimu, je anafaa?
 
Sina shaka kuwa wewe umeahidi uwaziri mkuu na huyo mama.Hakuna chochote alicho kifanya kwetu watanzania
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34550&amp;stc=1" attachmentid="34550" alt="" id="vbattach_34550" class="previewthumb" /><br />
<br />
After 10 years of rise of cost of living, energy crisis and political scandals, it is time to have a breath of fresh air. Dr. Anna Tibaijuka, who is currently the Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, the first African woman elected by the UN General Assembly as Under-Secretary-General of a United Nations programme, the former United Nations Under-Secretary-General and Executive Director of UN-HABITAT is a perfect choice to become the 5th President of the United Republic of Tanzania. As minister of lands, she has proved that she is a good executive and manager. She has turned around a ministry that was marred with corruption and mismanagement. In her current position, Dr. Tibaijuka has proved to be a visionary and steadfast leader who can make tough DECISIONS. <br />
<br />
Prior to her political and United Nations portfolios, Dr. Tibaijuka was a Professor of Economics at the University of Dar es Salaam. She is the author of various books and research papers on agriculture and rural development, farming systems, food policy, agricultural marketing and trade, sustainable development, social services delivery, gender and land issues, and environmental economics. She was an active member of the civil society and the women’s movement. In 1994 she founded the Tanzanian National Women’s Council, BAWATA, an independent non-party affiliated organization fighting for women’s economic and social rights. In 1996 she founded Barbro Johannson Girls’ Education Trust (Joha Trust) that advocates for quality girls’ education in Tanzania and Africa and operates a model secondary school for poor girls, mostly orphans. She is patron of Tanzania Young Entrepreneurs Initiative. She is a member of various professional associations and is a veteran of UN world summits, including the Beijing Women’s Conference, the Copenhagen Social Summit, Habitat II at Istanbul, and the Food Summit in Rome. She is winner of several awards including honorary Doctorate degrees conferred by the University of McGill in Canada, University College London, and Herriot Watt in Scotland. She is a Foreign Member of the Royal Swedish Academy of Agriculture and Forestry and the International Center for Tropical Agriculture. She is a widow with 5 children, one of whom is adopted.<br />
<br />
By electing Dr. Tibaijuka as President (if she runs), Tanzania will be making history as electing the first woman president of our republic and a breath of fresh political air.
<br />
<br />
 
msimdhulumu huyu mama fuata cv yake, anaweza sana sana sio kama sitta au lowasa, sita kigeu geu lowasa mpenda mali!!
 
eti mwanamke hawezi kupewa nchi kwa sasa.....msinitafutue bani jamani......
HIVI NYIE WANAUME MLIOPEWA NCHI KWA MIAKA 50 MMEIFANYIA NINI NCHI HII???

WALAFI....HAKUNA LOLOTE LA MAANA NCHI IMEENDELEA KUWA MASKINI CHINI YA MIKONO NA VICHWA VYENU.......MMEPROVE HAMUWEZI LOLOTE ZAIDI YA KUWA NA WATOTO/WAKE WENGI KWA HILO MNAJITAHIDI.....AFRICA, DUNIA INAOMBOLEZA KWA AJILI YA UONGOZI MBOVU WA WANAUME.....ETI.....TZ BADO KUONGOZA NA WANAWAKE AS IF WANAUME KUNA WALIOLIFANYA LOOOOH
MMEHARIBI SIKU YA NGU BURE..........

MASKINI WA fikra, wavivu wa kubuni, wezi wa mali ya umma, mizigo isiyobebeka, waasisi wa nyumba ndogo....MLIOSHINDWA KU DELIVER KWA MIAKA 50........HAMNA JIPYA ZAIDI YA UFISADI

mix with yours

Mmepewa Uspeaker, mbona hamrekebishi tuwaamini?
 
Hana jipya akae pembeni huko hatutaki kusikia harufu ya CCM hata kama watatwambia kuwa mgombea wao ni Malaika; maana tunajuwa hakuna malaika kutoka kwa mungu anaweza kuwa upande wa CCM hata siku moja.
 
Wacha niseme haya ni kama maneno ya wahuni wa Mtaani.<br />
<br />
Hata kama Hatujaridhika Na utendaji Wa Rais, Sio vizuri kumkebehi.<br />
<br />
Mbona tusijitahidi kuandika zaidi makosa yake na kumshauri afanyeje.<br />
<br />
Mfano:<br />
<br />
1. Tunaomba kipaumbele Kwenye umeme.<br />
2. Tunaomba miundo mbinu ambayo itaweza kuondoa Foleni hapa Dar Es salaaam.<br />
3. Punguza kodo Kwenye Mafuta.<br />
4. Wabunge hawasathili posho<br />
5. Tunaomba mkulima asaidiwe katika kuuza mazao yake katika masoko ya nje ambayo yameonekana kuwa na uhitaji mkubwa.<br />
6. Tunaomba ukiritimba TRA na Bandarini uondolewe<br />
7. Tunaomba Wazawa wapewe kipaombele katika ajira<br />
8. Tunaomba Tufaidike na rasilimali zetu hasa madini.<br />
9. Tunaomba issue ya mikataba inayahosu rasilimali za Nchi isiwe inatiwa saina na waziri husika peke yake, kuwe na some sought of public oversight committee.<br />
10. Tunaomba Ngeleja apumzike kwasababu amechoka.<br />
<br />
Mimi sidhani sisi kama wananchi tungekuwa tumetimiziwa mahitaji yetu muhimu tungehoji safari za rais wetu.
<br />
<br />
we huoni tabasamu lake na jinsi anavyopunga mkono na kugongea? Hofu yangu hizo safari za nje huwa anaenda ku 'quench thirsty'
 
Duh!i hardly believe it.Do you think Tanzanians are just there for making history?Right we have made history by electing Anna Makinda bt we all see her perfomance.She is the most weak speaker we ever had...do we still need to do the same for presidency position?a big no.We cant afford to get another kikwete in tz......enough z enough
 
msimdhulumu huyu mama fuata cv yake, anaweza sana sana sio kama sitta au lowasa, sita kigeu geu lowasa mpenda mali!!
 
kwa gamba hamuwezi kunishawishi kwa lolote.kwa kuwa yuko kwenye chama cha magamba na yeye ni gamba

usipende kujumuisha.......yawezekana chama unachokishabikia wewe kina ulemavu wa kuzaliwa, nafuu hata gamba linaweza kuvuliwa! I don mean na prefer Chichiem.....but you have to think beyond! Usimpinge m2 eti kwa vile ni wa chama fulani bila kufanya analysis kuhusu yeye kwanza
 
Hana jipya akae pembeni huko hatutaki kusikia harufu ya CCM hata kama watatwambia kuwa mgombea wao ni Malaika; maana tunajuwa hakuna malaika kutoka kwa mungu anaweza kuwa upande wa CCM hata siku moja.
wewe na nani?
 
Back
Top Bottom