Cv yake anafaa kuwa waziri wa Ustawi wa jamii tu,elimu yake ni ya kanisa zaidi haina manufaa kwa watanzania wote,nawashangaa Sana mnamuacha mtu makini na hodari anaetumainiwa ktk ulimwengu wa maendeleo Pr.Ibrahim Lipumba,mtafanya kosa Sana kuweka mtu asie Lipumba ktk ukawa,Slaa abaki kuwa waziri wa Ustawi wa jamii tu.