Dr. W. Slaa, Zitto Kabwe na Mwenyekiti Freeman Mbowe

:smilez: Nafarijika sana nikiwa Mwenyekiti Taifa Mstaafu na Muasisi wa CHADEMA, kusoma mchango wa Sabi Sanda na WanaJF wengine wanaotuunga mkono, na wanaotoa mawazo yenye ubunifu na yanayothibitisha uzalendo wa hali ya juu. Makao Makuu na Uongozi wa CHADEMA Taifa wanayachambua haya mapendekezo ili yatekelezwe kutuletea ushindi.

The entrance of Dr Willibrod Slaa in the race for the Presidency has rekindled a fire of hope for Tanzanians who had almost lost hope. But we need resources and proper organization to root out this moribund, corrupt political party which is unashamedly attempting to cling to power. Tanzanians have had enough of them and let us say so in October.

Wazo jingine ambalo ningependa WanaJF walitetee na kulipigia debe ni kwamba Wagombea wa Kiti cha u-Rais wawe na Mdahalo (Debate) katika Runinga. Wajieleza na kufafanua jinsi wanavyotaka kutekeleza majukumu yao ya kutatua matatizo yetu na kutuletea maendeleo. Kuwe na Moderator(s) wa kuongoza huo mdahalo wa kitaifa ili wananchi waweze kuamua ni yupi anafaa n.k.
 
Well said mzee wetu Mtei,

My worst fear as of today is how we are going to keep our rekindled hope glowing all the way.
Naomba Mungu atuonyeshe njia na atulinde.
 
Mzee Mtei, CHADEMA ikipokonywa ushindi DAMU LAZIMA IMWAGIKE! Mimi nitakuwa wa kwanza kumwaga damu yangu
 
:smilez: Nafarijika sana nikiwa Mwenyekiti Taifa Mstaafu na Muasisi wa CHADEMA, kusoma mchango wa Sabi Sanda na WanaJF wengine wanaotuunga mkono, na wanaotoa mawazo yenye ubunifu na yanayothibitisha uzalendo wa hali ya juu. Makao Makuu na Uongozi wa CHADEMA Taifa wanayachambua haya mapendekezo ili yatekelezwe kutuletea ushindi.

The entrance of Dr Willibrod Slaa in the race for the Presidency has rekindled a fire of hope for Tanzanians who had almost lost hope. But we need resources and proper organization to root out this moribund, corrupt political party which is unashamedly attempting to cling to power. Tanzanians have had enough of them and let us say so in October.

Wazo jingine ambalo ningependa WanaJF walitetee na kulipigia debe ni kwamba Wagombea wa Kiti cha u-Rais wawe na Mdahalo (Debate) katika Runinga. Wajieleza na kufafanua jinsi wanavyotaka kutekeleza majukumu yao ya kutatua matatizo yetu na kutuletea maendeleo. Kuwe na Moderator(s) wa kuongoza huo mdahalo wa kitaifa ili wananchi waweze kuamua ni yupi anafaa n.k.


Asante mzee mtei, huu ndo wakati sasa wa watanzania kuamka kuchagua kiongozi shupavu na kiongozi wa dira

Kuna thread moja imeanzishwa kwa ajiri ya kutoa mchango kufanikisha mdahalo huo unaweza kutuunga mkono angalau kidogo

 
Mzee Mtei, CHADEMA ikipokonywa ushindi DAMU LAZIMA IMWAGIKE! Mimi nitakuwa wa kwanza kumwaga damu yangu
nafikiri hatuhitaji damu ya mtu kumwagika, unajua wewe hata kama ni mwizi kuna asilimia za kuiba, sasa kama mtu (Dr Slaa) kashinda kwa kishindo huo wizi utatoka wapi, mzee wetu Mtei tunashukuru na tuko pamoja nawe, ushindi mwaka huu lazima na nafikiri vijana wote wenye kuitakia mema nchi yao watachagua mgombea makini ambaye ni Dr W.P SLAA.
 
Mzee Mtei na Uongozi wa CHADEMA,

Nimefurahi sana kusikia kuwa mnayafanyia kazi mawazo yaliyopendekezwa. Kama shukurani yangu na kuanza kutekeleza wajibu wangu kadri ya mapendekezo niliyoyatoa, nitachangia shilingi laki moja kabla ya mwisho wa mwezi huu. Na kama hali itaruhusu nitafanya hivyo mwezi ujao na mwezi wa kumi kwa kiwango hicho hicho. MUNGU awabariki sana na ni lazima CHADEMA Ishinde.

Kwa upande mwingine naomba pia, kama itawezekana, muingize kwenye ILANI YENU YA UCHAGUZI MIPANGO NA PROGRAMU ZIFUATAZO

1. CHADEMA DAILY & LIVE NATIONAL ENGLISH TEACHING PROGRAMME THROUGH TELEVISION AND RADIO

2. CHADEMA NATIONAL MATHEMATICS CENTRES IN EACH WARD

3. CHADEMA NATIONAL ICT TRAINING CENTRES IN EACH VILLAGE

5. CHADEMA NATIONAL ENTREPRENEUSHIP & EXTENSION SERVICES CENTRES IN EACH VILLAGE

6. TANZANIA NATIONAL EDUCATION TELEVISION

7. MWALIMU NYERERE GLOBAL TELEVISION FOR SPREADING KISWAHILI

8. CHADEMA NATIONAL FUND FOR TRACTORS AND AGRICULTURE TRANSFORMATION--Kwangu mimi ni makosa sana kuwekeza mabilioni ya shilingi kwa ujenzi wa barabara za lami. Uamuzi sahihi ni kuyatumia mabilioni hayo kwanza kwa kuwekeza kwenye kilimo na viwanda vya kusindika mazao kwanza na kisha faida itakayopatikana kutokana na uwekezaji huo ndiyo iende katika ujenzi wa barabara za lami. Tunachohitaji kwa sehemu kubwa ni barabara zinazopitika majira yote ya mwaka si lazima ziwe za lami. Miaka ya 2000 mwanzoni UNCDF na UNDP wamefanya kazi nzuri sana kanda ya ziwa kwa kujenga barabara ambazo si za lami ambazo ni nzuri mpaka leo. Naomba nitoe mfano kidogo hapa. Takwimu za TANROADS na Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu zinaonyesha kuwa gharama za kujenga kilomita moja ya barabara ya lami ni shilingi zisizopungua bilioni 1.1. Kwa kiwango hiki cha pesa unaweza kupata Trekta mpya kubwa za kulimia si chini ya 30 na ukawa na ukakika wa kulima zaidi ya ekari 15,000 kwa mwaka kwa kutumia hizo Trekta 30. Kupanga ni Kuchagua kama alivyosema Mwalimu. Katika hili naamini wote bado tunakumbuka kilichotokea kuhusu barabara ya BAGAMOYO MSATA YENYE UREFU WA KILOMITA 64 AMBAYO BAJETI YAKE KWA UJENZI WA KIWANGO CHA LAMI NI SHILINGI BILIONI 84. FEDHA HIZI UKIWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUSINDIKA MAZAO UNA UHAKIKA WA KUJENGA VIWANDA VYA KATI ZAIDI YA 60 au KUNUNUA MATREKTA MAKUBWA 2,400 AMBAYO KILA MWAKA YATAKUWEZESHA KULIMA SI CHINI YA EKARI 1.2M. NAOMBA NIELEWEKE. SIPINGI UJENZI WA BARABARA ZA LAMI. KWANGU MIMI TUANZE KWANZA NA BARABARA ZINAZOPITIKA MWAKA MZIMA NA KISHA ZIADA NDIYO IENDE KWENYE UJENZI WA BARABARA ZA LAMI.
 
TBC, Star TV nk nk hawawezi kurusha mawazo ya vyama vya upinzani, ni bora CHADEMA IANZISHE TV yake haraka sanaaaaaaaaaaa huu ndiyo wakati muaafaka watanzania wanamuaminia sana Slaa, hao wanaotaka CCM ni weziiiiiiiiiiii watupuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom