Ulimboka alishasema kila kitu, tena akiwa bado na majeraha, mwanahalisi likapigia mstari, mmefanyia nini hizo taarifa? Aje akanushe au arudie yaleyale? Nini kipya mnataka kusikia kutoka kwake?
Exactly...Tatizo sio ulimboka tatizo ni nyinyi madaktari mliokubali kurudi kazini wakati mwenzenu akiwa maututi. Na sasa hivi mnaendelea na kazi lakini mnataka yeye andelee na libeneke.
Mi nilishamdharau sana ulimboka
Si unajua watz tena, mtishie kidogo, kisha mlambishe kajiasali kadogo kwisha habari yake! Atacheza kila ngoma utakayompigia. Mimi naamini kuwa kaasali na kakitisho kadogo kameshaminya haki za mamia ya watz. Si nnaijua sirikali yetu!. Uli angejua hisia zetu angeacha mchezo anaofanya. Hapo ujue anatafutiwa cheo na kazi nzuri na kajumba kanajengwa chapchap ndipo atakuja na kudai...ooh mimi ndiyo najua mchezo wote, aliyenidhuru ni yule aliyekamatwa! Nk, subirini tu mtasema nilisema
RAMADHANI IGHONDU mfanyakazi wa Ikulu
Marcko,
Anza kuonyesha ujasiri wako kwa kutaja majina yako matatu na tarehe yako ya kuzaliwa. Hilo tu kwanza.
Mi nilishamdharau sana ulimboka
Ulimboka ana akili kuliko wewe na thred yako.anaendelea kupigania afya yake kwanza uchochezi badae
Tuachane na mambo ya Ulimboka, muda ukifika ataongea kila kitu
Hii ndo njia watakayoitumia kummaliza safari hii hata kama ataenda nje ya nchi tena huko ndo rahisi. Dalili zote ukizisoma hapa chini na ukilinganisha na hali ya Dr. Mwakyembe ni perfect match
Symptoms of arsenic poisoning begin with
headaches, confusion, severe diarrhea, and
drowsiness. As the poisoning develops,
convulsions and changes in fingernail
pigmentation called leukonychia may occur. When
the poisoning becomes acute, symptoms may
include diarrhea, vomiting, blood in the urine,
cramping muscles, hair loss, stomach pain, and
more convulsions. The organs of the body that are
usually affected by arsenic poisoning are the
lungs, skin, kidneys, and liver. The final result of
arsenic poisoning is coma to
death
KOFIA na GLOVES mmepata jibu!
Huyu ndugu yetu alikumbwa na machungu yaliyomgusa kila mmoja wetu! Nchi nzima ilizizima, na kuamini (nakuweka msisitizo kwenye tunacho fahamu) kua vyombo vya dola ni wabaya. Tukajitolea kwa matibabu yake, hadi kufikishwa hosiptali SA ambapo hata huko tulihisi serikakali ya Tz bado ingaliweza kumfuatilia na kummalizia !. Mimi kama mimi iliniuma sana.
Tunashukuru Mungu, kwa uwezo wake kapona na karejea nchini. Watu walitoa maoni mengi mitandaoni ambayo naamini ilimfikia kua akija aibukie press conference na kuyasema yote. Hataivyo, kutokusema siku ileile hatukushangaa sana maana jamaa lazima apumzike japo kidogo! Na akusanye kumbukumbu vizuri hata kukumbuka simu yake ilipo! .
MY TAKE:
1. Huu muda uliotumia kukusanya kumbukumbu ni mrefu sana,
2. Unajaza wasiwasi.
3. Hicho unacho subiri kwanini usieleze uma?
4. Hukumbuki kua wewe ungalikwisha 'decompose' (inaniuma sana)
5. Unaumiza vichwa vya watanzania wengine wapenda haki.
6. Vikao na kamati za serikali ni vyanini tena wakati walipopanda gari kukuacha Msituni usiku walijua wamekuua?
7. Utakayo yasema hata sasahivi, bado kutakua na hojaji tofauti kisa kutokuaminika tena.
8. Kumbuka ulishasema watu waachane na familia yako , wewe ndio ufahamuye ukweli.
9. Kumbuka kuna mengi yaliyo wakumba wanao kutetea
10. Mods naombeni msichanganye hii thread na ile inayosema " polisi leo kufunguka. . . . "
huyu ameisha tulizwa subiri wammalize taratibu, imekuwa unafiki sana. Wakiwa kwenye matatizo watanzania niombeeni mwenyezi Mungu akinijalia kurudi salama nitakuja kueleza yote, wakirudi baada ya kulambishwa asali wanakuwa kimya, je mmesahau na Mwakyembe?.
Mi nilishamdharau sana ulimboka