Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 258
- 540
Moja ya upepo ambao Tulia kausoma ni ule wa ICC.
Mambo yanazidi kuiva ni suala la uvumilivu tu wanachukua mda mlefu kufanya uchunguzi ila watanzania mtaenda kuona na kusikia mengi. Moja ya vitu mtaenda kusikia nia utajiri na hela ambazo zinamilikiwa na watz kwenye acc za nje.
Mambo yanazidi kuiva ni suala la uvumilivu tu wanachukua mda mlefu kufanya uchunguzi ila watanzania mtaenda kuona na kusikia mengi. Moja ya vitu mtaenda kusikia nia utajiri na hela ambazo zinamilikiwa na watz kwenye acc za nje.