Dr. Tulia na Jicho la Sheria

Dr. Tulia na Jicho la Sheria

Kaunara

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
258
Reaction score
540
Moja ya upepo ambao Tulia kausoma ni ule wa ICC.

Mambo yanazidi kuiva ni suala la uvumilivu tu wanachukua mda mlefu kufanya uchunguzi ila watanzania mtaenda kuona na kusikia mengi. Moja ya vitu mtaenda kusikia nia utajiri na hela ambazo zinamilikiwa na watz kwenye acc za nje.
 
tena hizo nchi walizopeleka tuzijue tuwaumbue! Yule waziri wa mambo ya nje alienda VIETNAM kufanya nini? ndio wanakoficha hela kujifanya ni faida kutoka HALOTEL
 
Back
Top Bottom