DR. SLAA Vs MAKAMBA


- Well, you make a lot of sense, isipokuwa one point tu kwamba uchaguzi huu kwa CCM haukuwa na anything to do na Chadema, rather than a referendum of CCM against Itself, Chadema walikuwa ni beneficiary tu wa CCM's aganist CCM.

- Otherwise, you have a strong argument ila ni mapema mno kuitumia we are not there yet!


William @ NYC, USA.
 
hata baba yako leo akiiona hii post atafadhaika sana.
Hivi baiskeli ya mbao inaweza kuwa na kasi kuliko Landcruiser vx?acha woga maisha yanawezekana hata bila kumlamba viatu JK

- Mkuu are saying your baba has something to do na your thinking? ha! ha! ha! Hilarious!

William @ NYC, USA.
 
Kudadeki yani kwa kuwashindanisha tu Makamba lazma anashangilia.. maana alizan utamshindanisha na mtoto wa Mwisho wa Dr Slaa.
 
Indeed you are missing something!

Does international standards allow vote rigging? If you refer to international standards you should also measure the election process won by him on the same international standards.


Hapo umenena. Hongera sana
:bored::bored:
 
Sikupenda sana kuaminin tena harakaharakla kuwa hata watu wazima na wasomi wazuri kama wewe unatoa arguments za kidhalilishaji namna hii.lakini sikushangai kwa kuwa wewe ni mmoja ya wanywa maji ya bendera wazuri mlio kamatwa akili na makamba kuwa kazi ni moja tu.yaanim kushinda uchaguzi.yawezekana japo sina uhakika sana kuwa kama sio makamba hungekuwa hapo ulipo sasa.ploe kwa kutumiwa na vuvuzela.
 
Mwenye mikakati bora inayomsaidia kufikia lengo ndiye kiongozi bora,
hao wengine mikakati yao si mizuri ndio maana wanaandamana ilhali haipo kwenye ilani ya chama chao.
 

- Great thinking at best!

William @ NYC, USA.
 
Kama huna cha kutuhabarisha ni heri uishie kusoma mawazo ya Great Thinkers!! Swali kama hili ilnashusha hadhi JFGreat Thinkers!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Slaa ni jembe katika sifa zote ulizotaja hapo! Makamba kwangu mimi naona ni mlopokaji na anayefanya vitu kibabe na hata visivyomuhusu. Makamba kusema shy rose ana hawara chadema na pia anavaa nguo fupi ni ukosaji wa hoja za msingi.NI MTAZAMO TU......
 

NI KWELI WAKATI MWINGINE NI LAZIMA VIWEPO VIGEZO VYA WAZI ILI WATU WANAPOONGEA WAWE WANAONGOZWA NA KUELEWA UWEZO WAO. PAMOJA NA KUSIKILIZA MANENO YAO PIA TUONE SIFA ZAO BINAFSI KAMA WANAVYOONEKANA MACHONI MWA WATU.
Indicator
Dr. Wilbrod Slaa
Score
Mh.Makamba, Captain Mstaafu Mgosi
Score
utawala bora (10%)
5
10%
1
2%
Uwajibikaji (20%)
5
20%
2
8%
Uzalendo (20%)
5
20%
2
8%
Ubunifu (10%)
5
10%
1
2%
Uadilifu (10%)

5
10%
3
6%
Busara katika kazi (10%)
5
10%
1
2%
Kuheshimu utawala wa sheria (20%)

5
20%
2
8%
TOTAL SCORE

100%

36%

Rating Scale: 5=excellent, 4=very good 3= good 2= poor 1= Very poor(weak)


 
Makamba labda umshindanishe na Maalim Seifu Sharrif Hamad, lakini kumshindanisha na Dr Slaa ni sawa na unashindanisha Bajaj ( Makamba ) na Caterpillar ( Dr Slaa. )

Ama kweli watanganyika akili zenu ni finyu saana Maalimu huwezi kumlinganisha na baba yenu juliasi nyerere na mtanganyika nyeyote.Hebu nendeni butiama mukamuulize juliusi jinsi alivokuwa akimuogopa maalimu.Dr.slaa na Makamba ni sawa tuu,mi sioni tofauti yao wote ni wasema ovyo hawana elimu wanaongea zaidi kwa mihemkwo,makamba kasoma kivukoni while slkaa kasomna upadre
 
Mwacheni Makamba wa watu kwani siku hizi amekaa kimya ....yupo kwenye foleni loliondo tusubiri arudi kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…