youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
-
- #21
Nikwelli maana Joséphine. Sasa hiv hataki kula tena mihogo vile vijisent walivyopewa vimeisha Josephine keshachonga dili lingine ili visent vipatikane
Gwajima yupi? Au yule Askofu wa CHADEMA?
Maana CHADEMA imejaa wachungaji na sasa Askofu ndiye anayeongoza chama
CCM kumejaa wasafirisha pembe za ndovu, wanyanyasa WAISLAM na wafunga Masheikh... vipi hapo?
CCM kumejaa wasafirisha pembe za ndovu, wanyanyasa WAISLAM na wafunga Masheikh... vipi hapo?
Nimeona headline kwenye gazeti la Sani
DR SLAA KUREJEA NCHINI, Kuzungumza na waandishi wa habari siku tatu kabla ya uchaguzi
sasa nakuuliza wewe Dr.W.Slaa hukumsikia au hukumuelewa Askofu Gwajima kuhusu onyo alilolitoa juu yako?
Mi nahisi uje kuzungumzia kitu kingine tofauti na siasa mkuu.
Hapo unadhihirisha upumbavu na ulofa wako tu
Na mm Gwajima nashindwa kumuelewa yeye ni nani hasa, mwanasiasa au kiongozi wa dini?
Huyo Gwajima ameamua kutumikia Mabwana wawili,Yesu Kristo na Chadema.Nawahurumia waumini wake
Huyo Gwajima ameamua kutumikia Mabwana wawili,Yesu Kristo na Chadema.Nawahurumia waumini wake