Nimeona headline kwenye gazeti la
Sani
DR SLAA KUREJEA NCHINI, Kuzungumza na waandishi wa habari siku tatu kabla ya uchaguzi
sasa nakuuliza wewe
Dr.W.Slaa hukumsikia au hukumuelewa Askofu Gwajima kuhusu onyo alilolitoa juu yako?
Mi nahisi uje kuzungumzia kitu kingine tofauti na siasa mkuu.