PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
CUF: HATUTASUSIA UCHAGUZI MKUU 2015.
MBOWE: UCHAGUZI MKUU 2015 HATUTASHIRIKI.
Mbowe: 2015 tutasimamisha mgombea mmoja wa UKAWA.
Endapo nini hakitafanyika?
CUF: HATUTASUSIA UCHAGUZI MKUU 2015.
MBOWE: UCHAGUZI MKUU 2015 HATUTASHIRIKI.
Mbowe: 2015 tutasimamisha mgombea mmoja wa UKAWA.
Dr Slaa ni kama Nuhu, tusipofanya anachotuambia tutaangamia wote kama wakati wa gharika ilivyoangamiza Sodoma na Gomora.
Ukombozi wa tatu utakuwa Lini? au hili bado hajawaambia?
Mnafanya mzaha kwa sababu ni watoto na mawakala wa mafisadi hamuoni umuhimu wa ukombozi huu, lakini sisi watoto wa masikini tunaiona Ccm zaidi ya wale wakoloni weupe.
"Ilikuwa rahisi kuikomboa nchi hii kutoka kwa wakoloni wazungu kuliko kuikomboa kutoka kwa hawa wakoloni wazawa" Alisema. Alifafanua kuwa hawa wezi wanadhani nchi ikikombolewa wataishia magereza kwa vile wao hawana pa kukimbilia huku wakoloni walijua watarudi kwao.
Alisema yeye ni padri na imani yake ya kikatoriki inamwabia mtu hawezi kutubu bila kurudisha aliichoiba, "warudishe mali zetu waone kama tutahangaika nao" aliongeza. "Nawaambieni utawala huu hata ufanyeje hauzidi mwaka mmoja na nusu, hivyo wajiandae kurejesha mali zetu". Alisema wakisikia hivyo wanafanya kila njia kubakia madarakani hata kama ni kuondoa uhai wa watu.
Source: Mi mwenyewe na sasa tunaingia Busanda.
Dr Slaa ni kama Nuhu, tusipofanya anachotuambia tutaangamia wote kama wakati wa gharika ilivyoangamiza Sodoma na Gomora.
Mkuu uko siriazi kweli? Dr.Slaa anaweza kukuletea ukombozi kweli? Mkombozi wa maisha yako ni wewe mwenyewe. Slaa ni msaka tonge tu! Usichukulie maneno yake kwa uzito hivyo.
Dr Slaa ni kama Nuhu, tusipofanya anachotuambia tutaangamia wote kama wakati wa gharika ilivyoangamiza Sodoma na Gomora.
Nuhu hakupika wake za watu. Nuhu hakutelekeza familia yake.
Nuhu hakuwa mzinzi. Usiikanyage Biblia wewe. Ufipa street.
Nuhu hakupika wake za watu. Nuhu hakutelekeza familia yake.
Nuhu hakuwa mzinzi. Usiikanyage Biblia wewe. Ufipa street.
upadr hauna cha kustaafu
Endapo nini hakitafanyika?
Sawa Nuhu alikomboa watu na dr slaa anatetea wanyonge kwa hivyo swala ni lile lile.