Dr. Slaa tunakuhitaji Tanganyika.

Dr. Slaa tunakuhitaji Tanganyika.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,850
Ikitokea Katiba imekamilika na kuwepo serikali tatu 3 ninakuomba Dr. Slaa ugombee urais wa Tanganyika baadala ule wa shirikisho, na Chadema itafute mugombea mwingine kwenye serikali ya shirikisho.
 
Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Dr.W.P.Slaa!
 
mugombea?,,,pambaaf,,,rudia tena kuandika!
 
Mkuu wa majeshi atakua Rais wa Tanganyika au Jamhuri.?
 
Ya muungano litakuwa pambo mkuu mpango mzima ni Tanganyika yetu.

Ni kweli mkuu,
Lakini tunamuhitaji zaidi kwenye muungano ili kutibu masaibu kadha wa kadha makubwa ambayo CCM imeyafanya ambayo yamependekezwa na tume ya warioba kama mambo ya muungano kama kuweza kulinyoosha JESHI lililotumika ovyo kwa maslahi ya wanasiasa ili liwe independent body!
 
Tunakuhitaji sana.Ni wanasiasa wachache wenye upeo mkubwa kama Dr.Ni mwanasiasa makini na mwenye nia ya dhati na nchi hii
 
Ikitokea Katiba imekamilika na kuwepo serikali tatu 3 ninakuomba Dr. Slaa ugombee urais wa Tanganyika baadala ule wa shirikisho, na Chadema itafute mugombea mwingine kwenye serikali ya shirikisho.
yes. ataendelea kuwa mgombea.
 
Back
Top Bottom