Dr Slaa njoo ukanushe tuhuma dhidi ya lowassa!

Dr Slaa njoo ukanushe tuhuma dhidi ya lowassa!

richmond zilikua tuhuma fake,tulipiga kelele sana watu hawakuelewa.sasa wanaona shida kusema zile zilikuwa siasa tu,wanabaki kutafuta jinsi ya kumbebesha mzigo fake wa richmond jk...
ukweli huwa unaonekana tu,mwisho wa siku ndo watu kuumbuka....
 
Hili ni suala muhimu kwa sasa.
Njoo ukanushe suala hili labda watanzania watakuelewa.

Njoo na facts mkuu!

Usije na porojo kama Mbowe!

Mmeshaambiwa kama mna ushahidi muwasilishe mahakamani, ili haki itendeke! Acheni Propaganda zenu za kitoto!
 
Lowassa alikwishasema: Ricmond = Jakaya Kikwete!

Umeelewa lakini nilichoandika?

Rudini majukwaani mlikomtukania huyo mzee mkatuambie kwamba NYIE NI WAKUPUUZWA TU MAANA SOMETIMES HUWA MNAROPOKA TU BILA USHAHIDI.
 
Nimegundua kabisa CDM niwaropokaji na wanachoongea hakina ukweli...labda nisubiri majibu namie ua orodha ya mwembeyanga ikikanushwa.
 
Ukweli ni kwamba CHADEMA wamechemsha na kipindi hiki watakimbia midahalo. Huyu Mbowe ndiye aliyetwambia kuwa Lowassa ni bubu leo bubu anapewa nafasi kugombea urais. Ama kweli Zitto ndie real politician kwasasa.

Mkuu acha movie iendelee teh teh teh siasa hizi!
 
Na hao wanaosena richmond ni ya kikwete wanaushaidi naombeni jibu? Chadema mmechemsha bora lowasa angekua mwanachama wakawaida tu wa chadema lakini sio kumpa nafasi ya uraisi tungewaelewa!
 
Ukweli ni kwamba CHADEMA wamechemsha na kipindi hiki watakimbia midahalo. Huyu Mbowe ndiye aliyetwambia kuwa Lowassa ni bubu leo bubu anapewa nafasi kugombea urais. Ama kweli Zitto ndie real politician kwasasa.
Upo sawa mkuu
 
Ghafla sisikii habari tena za Magufuli. Kumbe kweli UKAWA ni habari kuu mujini. CCM wanakuwa kama hawana mgombea kumbe tayari wanae. Kwanini wasiendelee na shughuli nyingine na sasa wanataka maelezo kutoka kwa watu wasiokuwa wanachama wao??

Unawezaje kutaka Dr. Slaa atoe maelezo yoyote ambayo huhusiani nayo? Wanaoweza kuhoji hili ni UKAWA pekee!
 
NAZIR KARAMAGI NA ANNA TIBAIJUKA, NCHIMBI NA SOFIA SIMBA YATAKUWA MAJEMBE MAPYA YA CHADEMA NA UKAWA. Ha ha ha ha aha aha ahaaaa SOON CCM NDO WATAKUWA WANAKAMEA MAFISADI
 
Back
Top Bottom