Mh. Dk Slaa nimewahi kutoa mawazo yangu kupitia forum hii ya JF nikisema kwamba wilaya, vijiji na hata mikoa kwa ujumla wake ile ambayo madini kama vile dhahabu, almasi, tanzanite na mengine yanapatikana ktk maeneo hayo basi wilaya na vijiji hivi vipewe japo asilimia 10 ya mrahaba utokanao na raslimali hiyo kwani wakazi wa maeneo hayo lazima wafaidike na mali iliyo ktk maeneo yao.
Sasa nimesikia serikali ya CCM hawataki kabisa jambo hilo, najiuliza ni kwa nini?
Kwa mtazamo wako wewe unalionaje hili??
Sasa nimesikia serikali ya CCM hawataki kabisa jambo hilo, najiuliza ni kwa nini?
Kwa mtazamo wako wewe unalionaje hili??