Hivi bado unaimani na Kubenea ambae amegeuka na kuwa Dalali wa Lowassa.
Tangu alipojongwa nyumba na kudhaminiwa kusoma nchini Afrika ya kusini,kubenea amebadilka kutoka kubenea mwanaharakati na kugeuka kuwa Dalali.
Hana credibility yoyote ya kunikuliwa,ni mtu ambae Njaa ipo kichwani.
Hivi ile kesi ya Kafulila mliyodai kuwa awalipe Bil 300 mpaka leo bado mnaiendeleza au Mliufyata?
Hivi bado pesa ni za Mtu binafsi ai mmekubaliana wazalendo kuwa pesa zilikuwa za umma.
Msalimie Werema na Mama Tibalijuka,mwambie Mboga za Mil 10 anaenda kubeba na Suzuki Carry?
Ha ha ha,tafuta kazi kijana hiyo unayofanya ni kazi za ukibaraka.