Dr. Slaa mpiganaji aliyesalitiwa

Dr. Slaa mpiganaji aliyesalitiwa

Kampe Dr cheo nyumbani kwako.Ubinafsi kitu kibaya sana.Yeye alivyotemwa ubunge na ccm karatu mbona alikuja chadema akapewa?mbona Mbowe alimuachia agombee urais?mgeni akija nyumbani hupaswi kukimbia nyumba.Kweli TISS kupitia mama wamemmaliza Dr
Mbowe alimuomba slaa agombee urais ila slaa alikataa mpaka wakakubaliana akigombea urais na ikitokea amekosa chadema itampa mshahara wa ubunge kila mwezi,fuatilia siasa ndipo uongee.
 
Dr Slaa mlafi wa madaraka mpaka alikimbilia chadema toka ccm, Kamanda lowassa katoka mbinguni? Na ilikuwaje mpaka amefika hapo? Alichaguliwa ccm akakataa ndio akaja chadema? Baada ya kushindwa uchaguzi lowassa hatabaki chadema, Dr Slaa hata angeshindwa bado angebaki kujenga misingi na kuandaa vijana wa baadae, tusubiri muda utatoa majibu

Kweli kabisa
"ikitokea chadema wameshinda urais itakuwa sio chadema ile ya wanaharakati tuliyoizoea na ikitokea wameshindwa basi kitakua ni kama kundi la watu sio chama tena"
 
Ukiachana Na Mke Wa Zamani Haimaanishi Umchukie Milele Kwani Bado Tu Ataendelea Kuwa Mkeo Kinadharia.

Aaaaah!, kwa hiyo.....!, mbona akili yangu inakuwa ndogo hapo, huo mfano wa kuacha mke na kuendelea kuwa naye kinadharia unamaanisha nini labda tukirejea kwenye Uchaguzi Mkuu wetu Kati ya Kura yako Na CCM yako!.
 
Eee Bwana eeeeeee....

Kati ya Slaa na Lowassa nani mlafi wa madaraka. Hebu sema kweli bila kupepesa macho....
 
10411043_682293048539218_4068726535064619018_n.jpg
 
Aende ccm hatumjali, tumemsikiliza, hatujamzingatia....nenda kapumzike father
 
Mzee ndivyo mambo yalivyo wa kukuelewa amekuelewa na ambaye hakukuelewa hawezi kukuelewa kamwe mimi nadhani umefanya uhalisia ulikuwa ndani ya moyo wako...pumzika mzee
 
Hivi kujitenga na maamuzi ya wengi kwa ubnafsi wako, ni Kusalitiwa?!

Mavi yakiwa choni ni mavi lakini yakiwa varanda ni keki..dr slaa
Nampongeza dr slaa kwa kusimamia haki na acho kiamini.
Nilikuwa namtafakari sana dr slaa sasa nimetimiza tafakuri zangu kwa kumuamini kama ni mzalendo wa dhati.
Mungu atujalie tupate wtz aina ya dr slaa wengi zaidi.
 
Ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaisari. Mungu hadhihakiwi kamwe.
 
Dr slaa amejitenga mwenyewe wala ajafukuzwa sisi wana chadema tunataka kusikia kauli yake tu kama kubaki CDM au laa!!!
akitaka kwenda ccm na aende tu chama kipo juu sio yeye awe juu ya chama..leo tunasubiri atakacho amua yeye binafs wala atujamshika mikono wala miguu.

Kwani alipoacha kumtumikia Mungu na kujaribu kuwatumikia wananchi kimeharibika nini.
 
Ghafla Dr. Slaa amekuwa kipenzi cha CCM.
 
HERI AMEONGEA TUMEJUA MOJA SIO KILA SIKU WATU KUULIZANA YUKO WAPI ANA ATAIBUKA NA NINI. Asante Dr. Slaa, umekamilisha safari yako acha wengine waendelee. Tatizo umechelewa sana kutoa tamko na kuibuka wakati watu wameshakata shauri. Kapumzike salama.
 
Ghafla Dr. Slaa amekuwa kipenzi cha CCM.

Kipenzi wapi wamemtumia ili wammalize kisiasa na wamefanikiwa. Kwa sasa hana mshiko tena na makombora ya MAGU wameyaelekezea kwake na yatammaliza. Vitani wanajeshi wako watapona si kwa kukwepa risasi tu njia nzuri ni kuigeuza target ya maadui kwa mtu mwingine.
 
kumbuka hakuwa na tuhuma yoyote na fkilia alikaa mda gan had akapata nafas ya kugombea urais si kama mlivyo fanya kwa lowasa kufika tu mnapeleka had chumban
 
Back
Top Bottom