Kampe Dr cheo nyumbani kwako.Ubinafsi kitu kibaya sana.Yeye alivyotemwa ubunge na ccm karatu mbona alikuja chadema akapewa?mbona Mbowe alimuachia agombee urais?mgeni akija nyumbani hupaswi kukimbia nyumba.Kweli TISS kupitia mama wamemmaliza DrMh. Dr. Slaa:
POLENI KWA YOTE YALIYOWAKUTA MLIKUWA WANAHARAKATI WA KWELI MLIOTAKA MABADILIKO YA KWELI, LAKINI KAMBI IMESALITI IMETAKA SIASA, HONGERENI KWA KUUKATAA ULOFA NA POLENI KWA KUWAPIGANIA MALOFA AKA MASIKINI WA AKILI,MUNGU AWABALIKI SANA
![]()
Mh. Dr. Slaa:
POLENI KWA YOTE YALIYOWAKUTA MLIKUWA WANAHARAKATI WA KWELI MLIOTAKA MABADILIKO YA KWELI, LAKINI KAMBI IMESALITI IMETAKA SIASA, HONGERENI KWA KUUKATAA ULOFA NA POLENI KWA KUWAPIGANIA MALOFA AKA MASIKINI WA AKILI,MUNGU AWABALIKI SANA
![]()
Kampe Dr cheo nyumbani kwako.Ubinafsi kitu kibaya sana.Yeye alivyotemwa ubunge na ccm karatu mbona alikuja chadema akapewa?mbona Mbowe alimuachia agombee urais?mgeni akija nyumbani hupaswi kukimbia nyumba.Kweli TISS kupitia mama wamemmaliza Dr
Mh. Dr. Slaa:
POLENI KWA YOTE YALIYOWAKUTA MLIKUWA WANAHARAKATI WA KWELI MLIOTAKA MABADILIKO YA KWELI, LAKINI KAMBI IMESALITI IMETAKA SIASA, HONGERENI KWA KUUKATAA ULOFA NA POLENI KWA KUWAPIGANIA MALOFA AKA MASIKINI WA AKILI,MUNGU AWABALIKI SANA
![]()
Samahani mkuu, Ni wewe?, Nimekufahamu humu jukwaani kwa ujasiri wako wa kutoona tunayoona, sasa sijui kale kaujasiri ketu kamishia wapi?, Kama unag'ata maneno hivi!, malizia ya rohoni yote. Ikibidi toroka uje.Mimi Ni Mwana CCM Mwenzako Ila Nina Shaka Na Credibility Yako Na Kuna Wakati Mwingine Unadhani Labda Habari Zako Zinaisaidia CCM Lakini Kwa Namna Nyingine Ndiyo Kwanza Zinatuharibia Wana CCM. Kwa Mfano Kuna Uzi Mmoja Umekuja Nao Tena Ukiwa Na Picha Kuwa Lowassa Jana Kakimbiwa Na Watu Wakati Kila Mwana CCM Jana Ameona Mwenyewe Jinsi Kampeni Ya Lowassa Ilivyoshona Watu. Wana CCM Wenzio Tunaanza Kukudharau Na Ndiyo Unaifanya Kazi Ya Kitengo Chetu Cha Propaganda Na Uzandiki Kuwa Ngumu Kwa Aina Ya UPOPOMA Wako Unaoufanya. Labda Nikiri Kwako Kuwa Hata Kama CCM Tutashinda Ila Hakika Mwaka Huu TUMEKIONA Na TUTAKIONA Cha Moto Kwani Lowassa Anafanya Watu Sasa TUSAHAU Mashuka, Vitanda, Wake Zetu Na PAPUCHI Zao. Ushindi Wetu Mwaka Huu Wana CCM Utakuwa Ni Wa Tia Maji Tia Maji Nikimaanisha Kuwa Sterling Ataibuka Mshindi Ila Mijeraha Kibao Huku Akiwa Hoi. Na Kibaya Zaidi Ni Kwamba Kila Mitego Yetu Anaipangua.
Mh. Dr. Slaa:
POLENI KWA YOTE YALIYOWAKUTA MLIKUWA WANAHARAKATI WA KWELI MLIOTAKA MABADILIKO YA KWELI, LAKINI KAMBI IMESALITI IMETAKA SIASA, HONGERENI KWA KUUKATAA ULOFA NA POLENI KWA KUWAPIGANIA MALOFA AKA MASIKINI WA AKILI,MUNGU AWABALIKI SANA
![]()
Hakuna KITU HATARI Kama kujiingiza kwenye DEAL NA CCM Kichwakichwa.Hawa kwa sasa ni spent force.Tunataka kikwete ashike dola ili zabuni zote za umma apewe NDESSAPESSA,MBOWE na MTEI na MATAJIRI
Walimuita Babu, amezeeka, Padri, anaishi na mke wa mtu....hana mke, anaishi na hawara.leo hii ccm ndio mnamtetea dr slaa??
Hakuna KITU HATARI Kama kujiingiza kwenye DEAL NA MCHAGGA Kichwakichwa.Hawa kwa sasa ni spent force.Tunataka Lowassa ashike dola ili zabuni zote za umma apewe NDESSAPESSA,MBOWE na MTEI na MATAJIRI WA LOWASSA....
leo hii ccm ndio mnamtetea dr slaa??
Umesahau chadema wanamtetea Lowasa
Samahani mkuu, Ni wewe?, Nimekufahamu humu jukwaani kwa ujasiri wako wa kutoona tunayoona, sasa sijui kale kaujasiri ketu kamishia wapi?, Kama unag'ata maneno hivi!, malizia ya rohoni yote. Ikibidi toroka uje.