tatizo hili ni serikari ya awamu hii tu,mbona enzi za mkapa ,mwinyi hata nyerere hilo halikuwepo,tatizo kaugeuza uraisi kuwa wa familia ,halafu kingine mume mwenywe kila siku safari sasa yeye akae nyumbani asubiri,mnakijua alichofuata uko
Huyu ni mwanamke kama wanawake wengine ; kwani huko Ikulu walikopanga wanalalia vitanda vingapi? Mumewe muda wake ukiisha watarudi wote Msoga kulima mihogo kama watakuwa bado wanandoa ; kama atakuwa amepewa talaka itabidi arudi kwao Lindi akajaribu kugombea ubunge!!!!
Wanatumia hizi NGO zao za WAMA kama ndio njia ya kutuibia fedha zetu za NSSSF na kuombea fedha kwa mashirika ya nje halafu hizo pesa wanajidai wanasomesha wasichana kumbe wanapeleka kwao!!!
Huyu ni mwanamke kama wanawake wengine ; kwani huko Ikulu walikopanga wanalalia vitanda vingapi? Mumewe muda wake ukiisha watarudi wote Msoga kulima mihogo kama watakuwa bado wanandoa ; kama atakuwa amepewa talaka itabidi arudi kwao Lindi akajaribu kugombea ubunge!!!!