Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

hiyo serikali ni ya chama gani? ,.
 

Ajiuruzu kutoka katika hiyo serikali na chama hafu ndo aanze kuikosoa
 
babu slaa ameshapona mkono na kisukari!!!!!

Una akili ndogo sana na ndoi maana ulifukuzwa CDM kama mbwa koko.Kuna watu wanaumwa hayo magonjwa na tunakushangaa unapokuja hapa kuwabeza kana kwamba wewe hutaugua.Elimu uliyoipata haijakusaidia kitu zaidi ya kujipendekeza kwa wanaume na kupost ujinga ili uishi.
 
Kuna mtu ana mweka Wassira kwenye kundi la washindani ni huwa nitamshangaa sana
Hawajitambui hawa misukule wa lumumba,wakiskia tu Dr Slaa mapepo yanawapanda.Watahara sana kwenye hii sred ili tu buku 7 iingie
 

Huu upumbafu na unafiki wa interahamwe peleka lumumba kwa misukule wenzio,hapa Dr Slaa ndiye habari ya mujini
 
babu slaa ameshapona mkono na kisukari!!!!!
Siasa za mitandaoni na za kitoto? Is it really necessary to publicise someone's illness. Don't you know that illness is confidential between the patient and his doctor? My advice to you young man: You can be seen to be wise in your politics if you refrain showing your anger to the people you think wronged you.
 
Dr Slaa ameingia ndani yaukumbi madr wamejipanga vema nitawapa kinachoendelea
 
Mambo ya UDSM utayajulia wapi!? mtu mwenyewe ata Veta hujafika.
mkuu sambai aliyefika veta hupata ujuzi na kuutumia kujipatia riziki huyo masalani aka choo hanaujuzi ndiyo maana kaamua kujikabidhi kwenye B7 ili angalau apate pakujipatia chochote, AIBU yake.
 
babu slaa ameshapona mkono na kisukari!!!!!

bw mdogo kuugua si kufa hivyo hata wagonjwa wana haki ya kushiriki siasa za nchi hii,Angalia inapoishia zipu ya suruali yako uone kama kilichopo kinaruhusu kuishi unavyoishi.
 
vip yule hawala amekuja nae?
Wenye wachumba hapo chuoni kuweni makini sana huyo ni mtu hatari sana ukizingatia hajaoa.
 
Simu inaishiwa Umeme ila Dr kaifananisha CCM na Adolf H. Kuwa alikifa kutokana na ukatiri wake hata kaburi lake halijulikani lilipo ndivyo itakavyokuwa kwa CCM kutokana na ukatiri wake kuwanyanyasa wanafunzi kuwafukuza vyuo kufunga vyuo bila sababu hii nikuuwa kizazi cha wasomi matokeo yake CCM itakufa kama gaidi Hitla na kaburi lake kutokuonekana
 

SHERIA ZA JF ZINAKATAZA KABISA KUCHAKACHUA UZI , NITASHANGAA SaNA KAMA HUJALA BAN .
 

tunakushuru sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…