Lakini Crashwise hizi mikutano mbona zimekuwa mingi sana, Mwezi wa Tano it was Lindi and Mtwara, Heche alikuwa Ifakara last week lakini saa hizi kuna taarifa kwamba yuko Tarime, yule katibu wake sijui mwenyekiti msaidizi naye amesisika pande za mbeya last week, kuna post nimeona hapa inasema M4C imevuna watu newala, kuna gazeti nimesoma jana linasema Operasheni vua gamba vaa gwanda imefanya nini sijui ngorongoro, Lema alikuwa London, mara ghafla nikamuona kwenye Luninga serena hotel Dar, Juzi house Girl wangu kachelewa kupika eti alikuwa kwenye mkutano wa CHADEMA tabata, Kuna post imo humu inasema Mbowe anakwenda USA, Tena ingine inamwenyekiti wa CHADEMA UK anaongea na nani sijui? ni nini hasa tatizo?