Ataruhusiwa kufanya mkutano wa aina hiyo kweli wakati suala zima limo kwenye mchakato wa kukatiwa rufaa mahakamani?...just joking!
Kwa hakika Dr Slaa ameamua maamuzi ya haraka na yenye akili kama vile kipanga anavyokamata kifaranga cha kuku, hakuna kuremba mawazo, maana angesubiri jamaa wakate rufaa tayari asingekuwa na loophole hiyo, policcm wangembeba msobemsobe.
Nimegundua kuwa M4C ni kama EBOLA inaua ndani ya sekunde!
babaangu gamba ni gamba tu liwe kike ,kiume ,kijani achana nae ye yupo kazini posho ya nape kesha vuta ....wanatumalizia pesa zetu kwa kuhangaika na cdm,wana honga jamaa waachie ngazi uongozi wa cdm ..cdm wanajaza nafasi kwa bure .
unanikumbusha mbege nilipo kuwa moshi miaka ile ..nilikuwa napata kikombe pale kwenye ile baa ya masai kazaa mtoto sjiui bado ipo?
RITZ, hapa jamvini ni kama umebaki peke yako ,sasa nakupa ujanja fungua ID kama mbili hivi ili tuone walau sura tofauti kwani tumeshakuzoea mno mkubwa.
CDM wanatisha zaidi ya ukoma,kikao muafaka,muda muafaka.
Kiongozi muafaka.
Kila kitu muafaka mkuu...
Kuhusu Sensa naunga mkono jinsi serikali inavyodhibiti vikundi vya kihuni vinavyoongozwa na Ponda.Kwa hapa viva JK
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.
Kama kawaida,muda muafaka si unajua jana ccm walikuwa na kikao ikulu? Leo sisi tunakikao na raia wa igunga.
Muda muafaka.
Mi nilikuwa hapo muda si mrefu.
Wametupigia kelelr usiku kucha , mbaya zaidi nimeibiwa na hao vibaka wa CDM kupitia dirishani kwenye Gesti us Mwasonya.
Hivi ninvoongea naposhana na Dr Slas hapa Singida,.
Ngoja nikitoe mie
Siamini kama mkuu ulijivua Gamba. Hongera am proud of u