RITZ, hapa jamvini ni kama umebaki peke yako ,sasa nakupa ujanja fungua ID kama mbili hivi ili tuone walau sura tofauti kwani tumeshakuzoea mno mkubwa.
Doctor yupo smart kimbinu na kimkakati! hiyo aliyofanya ni political timing!!viva doctor! viva m4c viva CDM viva tanganyika!Ataruhusiwa kufanya mkutano wa aina hiyo kweli wakati suala zima limo kwenye mchakato wa kukatiwa rufaa mahakamani?...just joking!
Kwa hakika Dr Slaa ameamua maamuzi ya haraka na yenye akili kama vile kipanga anavyokamata kifaranga cha kuku, hakuna kuremba mawazo, maana angesubiri jamaa wakate rufaa tayari asingekuwa na loophole hiyo, policcm wangembeba msobemsobe.
Nimegundua kuwa M4C ni kama EBOLA inaua ndani ya sekunde!
Ataruhusiwa kufanya mkutano wa aina hiyo kweli wakati suala zima limo kwenye mchakato wa kukatiwa rufaa mahakamani?...just joking!
Kwa hakika Dr Slaa ameamua maamuzi ya haraka na yenye akili kama vile kipanga anavyokamata kifaranga cha kuku, hakuna kuremba mawazo, maana angesubiri jamaa wakate rufaa tayari asingekuwa na loophole hiyo, policcm wangembeba msobemsobe.
Nimegundua kuwa M4C ni kama EBOLA inaua ndani ya sekunde!
Viva Dr Slaa, viva chadema, viva M4C.
Nape,ukianza kufukia mashimo ya chadema utaanzia Moro au Igunga?maana naona kama unarundika kazi
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.
Mtume gani yule Muhindi wa Agape TV.
mtume gani yule muhindi wa agape tv.
USIWASEMEHE ndio kitu gani?Acha wenge.Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.
Tumesha mzoea yan mimi nikimuona huwa naruka post zake kama naruka timba vile...RITZ, hapa jamvini ni kama umebaki peke yako ,sasa nakupa ujanja fungua ID kama mbili hivi ili tuone walau sura tofauti kwani tumeshakuzoea mno mkubwa.
sijawai kupungukiwa imanh na Dr.Slaa Mungu akuzidishie nguvu na afya bora,maana watanzania waliokata tamaa na maisha wanaimani na wewe kuliko unavyofikiria.!
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.
mmoja wapo mimi nina imani nae..... kura two million za 2010 unajfanya hukuzisikia au acha basi ritz kupiga kelele ...heri chui hawezi kubadilika kuwa mbuzi au ngombe
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.
CDM wanatisha zaidi ya ukoma,kikao muafaka,muda muafaka.
Kiongozi muafaka.
Viva Tanzania
aiseee babaangu ningejua jinsia yako ningefurai sana ili nikupe jana lako,,kama ni wakike we ni gamba la kike na kama ni wakiume we ni gamba la kiume ila oll in all we ni gamba 2
ngoja ningoje mbege hapa