Dr. Slaa Kulipwa maslahi kama mbunge anastahili?

Mojawapo ya matatizo ambayo wengine tunayaona ni yale yale ya kuwa viongozi wa Chama ndio executive wa chama vile vile; matokeo yake ni mambo kama haya ambayo yangeweza kuepukika mapema sana kama ingetenganishwa shughuli za chama na shughuli za kisiasa. Haya matatizo ya michanganyo hii yataendelea hadi CHADEMA itakapokubali kuwaondoa wanasiasa katika shughuli za kila siku za chama na kuweka watu ambao ni professional katika utendaji wa chama. Sijui kwanini hili ni gumu sana kuonekana.
 
TRA kama wanaona Dr. halipi kodi na wanazo data sheria iko wazi, waende mahakamani. Halafu huko ndio wataona kitim tim cha CDM. Na kwa hakika TRA hawawezi kufanya hivyo watabakia kusema sema tu kwenye magazeti yao ya kifisadi...:dance:

Ktim tim cha CDM?? Mahakamani nako kuna kuandamana au kuzomea?
 
Watu pekee ambao hatulipi kodi ni wafanya biashara. Mtu ukimiliki biashara halafu ukawa VAT registered basi maisha yako yote hutolipa kodi.

Ndio maana sie wafanya biashara tunaipenda sana VAT. Tunawasaidia TRA kukusanya kodi zenu halafu sisi tunasamehewa hatulipi kodi. sasa fikiria kuna wafanya biashara wangapi Tanzania wanafaidika na mpango huu wa TRA wa wao kuishi bila kulipa kodi hapo ndio utajua M 7 za Slaa is nothing.
 
Mojawapo ya matatizo ambayo wengine tunayaona ni yale yale ya kuwa viongozi wa Chama ndio executive wa chama vile vile; matokeo yake ni mambo kama haya ambayo yangeweza kuepukika mapema sana kama ingetenganishwa shughuli za chama na shughuli za kisiasa. Haya matatizo ya michanganyo hii yataendelea hadi CHADEMA itakapokubali kuwaondoa wanasiasa katika shughuli za kila siku za chama na kuweka watu ambao ni professional katika utendaji wa chama. Sijui kwanini hili ni gumu sana kuonekana.

shughuli za kila siku za chama ni zipi? Kulipa kodi, au kueneza sera? Unataka Slaa aachie uKatibu mkuu, Mbowe uenyekiti, nk?
 
shughuli za kila siku za chama ni zipi? Kulipa kodi, au kueneza sera? Unataka Slaa aachie uKatibu mkuu, Mbowe uenyekiti, nk?
Hivi unadhani Obama,Bush.... ni wenyeviti au viongozi wa vyama vyao?,unajua mbunge au mwakilishi katika nchi zilizoendelea ana wafanyakazi wangapi?
Wenzetu wana kitu kinaitwa "pages" ambao ni watu wanaomfanyia kazi mwakilishi,wengi wao huwa ni interns kutoka vyuoni,kazi yao ni kusoma miswaada,kusoma magazeti,tv,radio na ku arrange mikutano kati ya mwakilishi na lobbysts,
Wajumbe wa kamati za congress huwa na watu si chini ya watatu nyuma yao kwenye kikao ambao huwa ni proof readers..etc
Usione wanasiasa wakiwa majukwaani,behind the scenes kuna watu wengi sana ambao ni smart,dedicated na wanajitolea kumfanyia kazi mwakilishi wao!..buree!
Vyama vya kisomi huwa havikamatwi kwenye mitego ya kitoto kama hii,miswaada kama ya bunge la EU sometimes huwa na kurasa hadi 15,000!! we unafikiri nani huwa wanasoma hiyo miswaada na kuwaelezea wabunge?
Au wewe unadhani wanaambiwa tu na kiongozi wa upinzani kwamba pigeni kura ya ndio/hapana kweny muswaada fulani?..No wenzetu huwa wanaendesha shughuli zao surgically with a lot of intellectuals behind the scene.
Duh!!...kweli bado!
 
Huyu akipewa nchi ndio ataiba hadi chupi zenu, alipe kodi lasivyo achomwe ndani. Nyie wanacdm mlishamuona malaika huyo mbuzi wenu. Sasa kila analo fanya ni sawa tu kwenu.Amekula mke wa mtu mkasema hiyo ni kawaida na anaibia wananchi bado mnabisha. Bilashaka akikutwa anabaka mtoto mtasema alikua anamfundisha mapenzi.
 
Guys... I have read all comments and some seems to merely discussing the person and not the issue..

Kama CDM wanakwepa kodi and rightly so...then TRA should summon them to pay it simple!

If the claims were raised by TRA themselves..there is no better revenge than paying it!
Actually not revenge simply obligation..and if there are fines then CDM should be fined

And now ladies and gentlemen let's get back to mfumuko wa bei and Magamba's mikakati to get it together

Let's not waste our precious(sp) time discussing what would have been ? U hear me all you who start Dr wa kanoni and blablabla! Get a life
 
Huyu akipewa nchi ndio ataiba hadi chupi zenu, alipe kodi lasivyo achomwe ndani. Nyie wanacdm mlishamuona malaika huyo mbuzi wenu. Sasa kila analo fanya ni sawa tu kwenu.Amekula mke wa mtu mkasema hiyo ni kawaida na anaibia wananchi bado mnabisha. Bilashaka akikutwa anabaka mtoto mtasema alikua anamfundisha mapenzi.

Mmeshikwa pabaya sana....poleni sana....kala mke wa mtu so flippin what ? Was she below 18yrs ? Get a life and discuss issues..eti akikutwa amebaka....u wish ha ?! Keep dreaming
 
Mmeshikwa pabaya sana....poleni sana....kala mke wa mtu so flippin what ? Was she below 18yrs ? Get a life and discuss issues..eti akikutwa amebaka....u wish ha ?! Keep dreaming

Na wewe ndio wale wale, Mtaona mwisho wa huyo malaika wenu. Jitayarishe kukaanga mandazi umpelekee selo.
 
Hivi unadhani Obama,Bush.... ni wenyeviti au viongozi wa vyama vyao?,unajua mbunge au mwakilishi katika nchi zilizoendelea ana wafanyakazi wangapi?
Wenzetu wana kitu kinaitwa "pages" ambao ni watu wanaomfanyia kazi mwakilishi,wengi wao huwa ni interns kutoka vyuoni,kazi yao ni kusoma miswaada,kusoma magazeti,tv,radio na ku arrange mikutano kati ya mwakilishi na lobbysts,
Wajumbe wa kamati za congress huwa na watu si chini ya watatu nyuma yao kwenye kikao ambao huwa ni proof readers..etc
Usione wanasiasa wakiwa majukwaani,behind the scenes kuna watu wengi sana ambao ni smart,dedicated na wanajitolea kumfanyia kazi mwakilishi wao!..buree!
Vyama vya kisomi huwa havikamatwi kwenye mitego ya kitoto kama hii,miswaada kama ya bunge la EU sometimes huwa na kurasa hadi 15,000!! we unafikiri nani huwa wanasoma hiyo miswaada na kuwaelezea wabunge?
Au wewe unadhani wanaambiwa tu na kiongozi wa upinzani kwamba pigeni kura ya ndio/hapana kweny muswaada fulani?..No wenzetu huwa wanaendesha shughuli zao surgically with a lot of intellectuals behind the scene.
Duh!!...kweli bado!

Asante kwa kupayuka ninayojua! Cha kwanza unatakiwa ujue ni kuwa mfumo wetu wa siasi ni tofauti na Marekani. Nadhani umeachagua mfano wa Marekani kwa sababu ni nchi iliyoendelea ki-siasi. Sasa na mimi nakupa mfano wa nchi nyingine iliyoendelea kisiasa zaidi ya Marekani, Uingereza! Kasome political structure ya vyama vyake uone kiongozi wa Chama ni nani! Kumbuka pia kuwa Tanzania ipo modeled zaidi towards the English political system. Kwa hipo umetudanganya!
Pili, sidhani kama mwanakijiji anapoongelea shughuli za chama za kila siku anamaanisha kuwa na wasaidizi. Am sure Chadema ina wasaidizi kibao. Na ndio hao vijana wamekuwa wakigombea hizo nafasi kwa sasa. Najua watu wengi sana waliokuwa wakisaidia the party machinery. Kwa mfano Regia. Kwa hiyo sidhani kama umetueleza chochote cha maana zaidi ya kuandika tunachojua!
Wewe tuambie kazi za kila siku za Chama ni zipi ambazo hao viongozi waziache?Au unandandia basi kwa mbele bila kujua destination?
 
Wafanyakazi wa nchi ndio walipa kodi wa uhakika kwa Serikali. Hakuna namna kwa mfayakazi ktk sekta rasmi kukwepa kodi! kwa kutambua hilo Dr. Slaa akaona ni vema mshahara wake augeuze kuwa posho ili asilipe kodi!
 
Hivi anayelipa kodi ni nani kati ya Chadema na Dr Slaa?
Ebu tuwe wakweli kuwa ni wafanyakazi wangapi wanaonekana TRA kila mwezi kupeleka kodi zao? Suala la kodi ni mwajiri ndo analipa lufuatana na makubaliano na TRA. Hivi kosa la DR Slaa liko wapi katika hilo?

Hivi Waziri membe anapodai kuwa bilioni 14 hazitoshi kwenye bajeti ya Kikwete kwenda nje ya nchi kwa mwaka hizo fedha zinalipiwa kodi au ni posho? Kwa nini ushangae posho ya milioni 7 kwa mwezi na usishangae posho ya bilioni 1.17 (14/12) kwa mwezi anayolipwa kikwete na rafiki zake wachache kwa safari za nje? Au kwa nini usishangae kiasi cha milioni 350 kwa mwaka zinazotumiwa na idara moja tu ya idara ya madini kununua chai ya wageni. Hiyo ni sawa na milioni 29.17 kwa mwezi bila kodi.

Ebu tufikirie nje ya box na tuache ushabiki wa akili za Ki- NaPE
 
Hivi ni nani kati ya Chadema na Dr Slaa anayetakiwa na sheria kulipa kodi ya mwajiriwa?
Hivi kuna wafanyakazi (waajiriwa) wangapi hapa Tanzania ambao upeleka fedha za mishahara yao kila mwezi TRA kama kodi?
Taratibu ziko wazi kuwa mwajiri ndo atamkata kodi mwajiriwa na kuifikisha TRA. Dr. Slaa hana kosa wala haitaji kusakamwa.

Ebu tujiulize mambo ya msingi na maana zaidi. Mh. Benard Membe amenukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa kiasi cha bilioni 14 kwa mwaka kwa posho za Rais kwa safari zake za nje hakitoshi kabisa. Hii ina maana Kikwete anapata posho ya wastani wa kiasi cha bilioni 1.16 bila kodi kila mwezi. Tujiulize tena Wizara ya Madini na nishati kitengo kimoja kinatumia kiasi cha shilingi milioni 350 kwa mwaka kukarimu wageni kwa chai. Kiasi hicho ni wastani wa shilingi milioni 29.17 kwa mwezi bila kodi. Hivi ni yupi anafaa kupigiwa kelele kati ya hawa wawili? Wote wanaweza kuwa na makosa lakini kwa kuwa kosa haliondoi kosa au adhabu basi tufikirie athari za kiuchumi zilizokubwa zainasababishwa na nani kati yao?
Hivi sasa tufikie mahali tuone maisha kwa mtazamo mpana bila kuweka ufinyu wa mawazo na mchanganuo dhaifu.
 
We Vipi mbona umeingia kwa fujo hivyo? Hebu jivue gamba na hao waliokutuma hapa jamvini waambie wavue gamba linalowapa wakati mgumu.

Join Date : 11th July 2011
Posts : 4

Rep Power : 0
 
Back
Top Bottom